naitwa lovulovu, mkazi wa jijini, mpagani kwa dini au kwa lugha rahisi kafiri. nimefurahia sana mtandao huu nami naomba mnikaribishe tuungane tuweze kubadilishana mawazo hasa hili la kutaka eti kutumia kodi yangu kuwalipa mahakimu wa waungwana wasiokula visivyochinjwa waitwao makadhi na mengine mengi kama ya uchumi, siasa, elimu na kadhalika na kadhalika.
lovulovu
lovulovu