Si inaruhusiwa kubadili kituo cha kupigia kura? Kama wametangaza mapema hivi, nafikiri kuna muda wa kutosha kuhamisha kituo chako kwenda kule ambako utakuwa wakati huo.
Labda kama hata kuhamisha kituo ni ngumu na hapo wanafunzi tutakuwa tumefungwa goli.
Labda kama hata kuhamisha kituo ni ngumu na hapo wanafunzi tutakuwa tumefungwa goli.