Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Mnyika John Kuwa makini kwa hili
MKuu huu ni maongo wa CCM kuzoofisha Upinzani, 2005 nilikuwa na watoto wangu pale UDSM but hawakupiga kula mana waliambiwa majina yao hayapo kwenye daftari la wapiga kura.
CCM imeona Mnyika wa Ubungo atashinda lakini hapa wanatengenezea mizengwe hili akose kula za UDSM. 2005 80% ya wanachuo walikuwa namusupport JOhn Mnyika
NB: JOHN MNYIKA KUWA MAKINI KWA HILI KURA ZAKO ZINAPOTEA
Taarifa za uhakika kutoka kwa wakuu wa vyuo vikuu zinaeleza kwamba, wametaarifiwa rasmi kwamba muhula ujao wa masomo utaanza mwishoni mwa mwezi Novemba 2010. Hiyo itakuwa ni baada ya siku ya kupiga kura.
Kisingizio ni bajeti lakini yaonekana ni kuogopa kupoteza majimbo yaliyoko ktk miji yenye vyuo, Dar, Mwanza, Morogoro, Dodoma. Kwa idadi kubwa ya wanafunzi walioko ktk vyuo hivyo, na kwa uelewa wa wanafunzi, inaonekana watawala wanaanza kuhofia uamuzi wa wanafunzi ktk miji hiyo.
Pamoja na hali hii ambayo watawala wataiita "ujanja", ni aibu kwamba bado tunategemea ujinga ili kupata madaraka badala ya ufahamu. Sasa siasa inazidi kuharibu mipango ya elimu.
Pamoja na hali hii ambayo watawala wataiita "ujanja", ni aibu kwamba bado tunategemea ujinga ili kupata madaraka badala ya ufahamu. Sasa siasa inazidi kuharibu mipango ya elimu.
Duu,Kuna uthibitiisho kuwa mwaka huu vyuo vikuu vyote vitaanza mwaka wa masomo mpya mwezi wa kumi na moja soon after uchaguzi. wachambuzi wanasema hi ni janja ya CCM kuzuia wanachuo wasipige kura kwani wengi si wana CCM, na wengi wangepigia upinzani. wanajua fika wengi wamejiandikisha maeneo ya chuoni. jamani mbona wanawanyima watu haki ya kupiga kura? I hate being tanzanian and live here, am strugling to go and live abroad where life there make sense.