Wema Sepetu: “Niliposema watu waliniona mjinga lakini sasa Jokate kaumbuka”

Kidume yupi ungekuwa kwenye position ya kulamba Wema usingepiga?? Position nyingine inakujia ghafla ya kupiga Jokate usingekula......????? Diamond watembezee ni wakati wako, ni msimu wako....

...awe tayari pia kwa msimu ujao.
 
Haka ka jokate nliwahi kusikia kalishatafunwa na mkubwa mmoja wa CRDB, alafu kakampa zawadi mtoto wa huyo mkubwa, nae hakusita akamtafuna. Nikawa siamini kabisa aisee! Kumbe haka katoto noma eeh?
 
na karibu atatutangazia fb kuwa sasa yupo na aunt! wananipa raha sana wasanii wetu! jokate kaumia sana kupitia mshkaji wake sintah, kasahau kuwa muosha, huoshwa!
 
Kanyaga twende dogo ngoja tutafute mwingine umwingize kwenye kalist kako...
Nahisi huyu dogo anatafuta mashairi ya kamwimbo kapya ukizingatia mshauri ni mama yake!!!! Kazi ipo
 
Haka ka jokate nliwahi kusikia kalishatafunwa na mkubwa mmoja wa CRDB, alafu kakampa zawadi mtoto wa huyo mkubwa, nae hakusita akamtafuna. Nikawa siamini kabisa aisee! Kumbe haka katoto noma eeh?

Kanaitwa Silent Killer..patient,precisley,neat and behind the curtain..! as long as you got u'r self cheddas or name around downtown must be her next target..!
 
Siku chache zilizopita, Wema Sepetu ambaye alikuwa mchumba wa Diamond kabla hajabwaga manyanga alilalama kwenye vyombo vya habari kuwa Jokate ameingilia penzi lake kwa msanii huyo, tuhuma ambazo miss huyo namba 2 aliziruka kwa kusema anasingiziwa.

"Si alikuwa anakanusha, sasa yako wapi?" Jane Swai, mchangiaji wa blogu (jina kapuni) alihoji wakati akitoa maoni yake kuhusu habari ya Diamond kutangaza rasmi kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na msichana huyo mwenye kidoti cheusi usoni na kwamba haoni mwingine wa kumpa penzi lake.

Wakati Jokate akisakamwa kwenye mitandao, Uswahilini nako hali si shwari ambapo dodoso nyingi zisizokuwa na uthibitisho wa kutosha zimekuwa zikitolewa kwamba mwanadada huyo kabla ‘kudeti' na Diamond ameshatoka na msururu wa wanaume wengine.

hichi ni kipindi cha kajala sasa mtoto ana mambo
 
Siku chache zilizopita, Wema Sepetu ambaye alikuwa mchumba wa Diamond kabla hajabwaga manyanga alilalama kwenye vyombo vya habari kuwa Jokate ameingilia penzi lake kwa msanii huyo, tuhuma ambazo miss huyo namba 2 aliziruka kwa kusema anasingiziwa.

“Si alikuwa anakanusha, sasa yako wapi?” Jane Swai, mchangiaji wa blogu (jina kapuni) alihoji wakati akitoa maoni yake kuhusu habari ya Diamond kutangaza rasmi kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na msichana huyo mwenye kidoti cheusi usoni na kwamba haoni mwingine wa kumpa penzi lake.

Wakati Jokate akisakamwa kwenye mitandao, Uswahilini nako hali si shwari ambapo dodoso nyingi zisizokuwa na uthibitisho wa kutosha zimekuwa zikitolewa kwamba mwanadada huyo kabla ‘kudeti’ na Diamond ameshatoka na msururu wa wanaume wengine.

hichi ni kipindi cha kajala sasa mtoto ana mambo


daaah mambo ya karne 19 mnayaleta leo inamaana hukuna jipya lililotokea?
 
kuna mtu yeyote mwenye ushaidi juu ya diamond na matumizi ya condom....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom