Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Huyu Diamond ataharibikiwa muda si mrefu maana anapenda sana sifa.
Hela zikikata atakuwa na akili pamoja na busara
Huyu Diamond ataharibikiwa muda si mrefu maana anapenda sana sifa.
Kidume yupi ungekuwa kwenye position ya kulamba Wema usingepiga?? Position nyingine inakujia ghafla ya kupiga Jokate usingekula......????? Diamond watembezee ni wakati wako, ni msimu wako....
Jamani mwambieni Jacklne wolper,nampenda.Kwa m2 mwenye namba yke anipe.
Jamani mwambieni Jacklne wolper,nampenda.Kwa m2 mwenye namba yke anipe.
huyu diamond ataharibikiwa muda si mrefu maana anapenda sana sifa.
hela zikikata atakuwa na akili pamoja na busara
Haka ka jokate nliwahi kusikia kalishatafunwa na mkubwa mmoja wa CRDB, alafu kakampa zawadi mtoto wa huyo mkubwa, nae hakusita akamtafuna. Nikawa siamini kabisa aisee! Kumbe haka katoto noma eeh?
Siku chache zilizopita, Wema Sepetu ambaye alikuwa mchumba wa Diamond kabla hajabwaga manyanga alilalama kwenye vyombo vya habari kuwa Jokate ameingilia penzi lake kwa msanii huyo, tuhuma ambazo miss huyo namba 2 aliziruka kwa kusema anasingiziwa.
"Si alikuwa anakanusha, sasa yako wapi?" Jane Swai, mchangiaji wa blogu (jina kapuni) alihoji wakati akitoa maoni yake kuhusu habari ya Diamond kutangaza rasmi kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na msichana huyo mwenye kidoti cheusi usoni na kwamba haoni mwingine wa kumpa penzi lake.
Wakati Jokate akisakamwa kwenye mitandao, Uswahilini nako hali si shwari ambapo dodoso nyingi zisizokuwa na uthibitisho wa kutosha zimekuwa zikitolewa kwamba mwanadada huyo kabla ‘kudeti' na Diamond ameshatoka na msururu wa wanaume wengine.
hichi ni kipindi cha kajala sasa mtoto ana mambo
Siku chache zilizopita, Wema Sepetu ambaye alikuwa mchumba wa Diamond kabla hajabwaga manyanga alilalama kwenye vyombo vya habari kuwa Jokate ameingilia penzi lake kwa msanii huyo, tuhuma ambazo miss huyo namba 2 aliziruka kwa kusema anasingiziwa.
Si alikuwa anakanusha, sasa yako wapi? Jane Swai, mchangiaji wa blogu (jina kapuni) alihoji wakati akitoa maoni yake kuhusu habari ya Diamond kutangaza rasmi kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na msichana huyo mwenye kidoti cheusi usoni na kwamba haoni mwingine wa kumpa penzi lake.
Wakati Jokate akisakamwa kwenye mitandao, Uswahilini nako hali si shwari ambapo dodoso nyingi zisizokuwa na uthibitisho wa kutosha zimekuwa zikitolewa kwamba mwanadada huyo kabla kudeti na Diamond ameshatoka na msururu wa wanaume wengine.
hichi ni kipindi cha kajala sasa mtoto ana mambo
daaah mambo ya karne 19 mnayaleta leo inamaana hukuna jipya lililotokea?
daaah mambo ya karne 19 mnayaleta leo inamaana hukuna jipya lililotokea?
hujaletewa lolote umesoma mwenyewe,infact pita tuu mi nimeamua kusoma za nyuma,ndo mana hazfutwi il tkijiskia tusome
Jamani mwambieni Jacklne wolper,nampenda.Kwa m2 mwenye namba yke anipe.