ana attention seeking disorder.... she would do anything for the camera
sina imani na kuzimia kwa wema,labda kweli lkn sitashangaa kusikia alizimia ili camera zifocus kwake.
hapo atawapigia simu waandishi kuuliza kama walimuona alivyozimia.
R.I.P Great man
kavizoea,atarembua kidogo tu then ataendelea na maigizo yake
baada ya kifo cha muigizaji mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, marehemu Steven Charles Kanumba, Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu amefunguka kuwa hakuwahi kuachana na muigizaji huyo.
Akizungumza kwa sauti iliyoambatana na kilio cha kwikwi katika mahojiano maalumu na kituo kimoja cha redio nchini, Wema alisema kuwa ingawa jamii ilikuwa ikifahamu kuwa ameachana naye, ukweli ni kwamba bado walikuwa wapenzi kwa siri.
Tulikuwa na mapenzi ya siri kati yetu na tulifanya hivyo kwa kuwa kila
Hahahahah cheusimangalasina imani na kuzimia kwa wema,labda kweli lkn sitashangaa kusikia alizimia ili camera zifocus kwake.hapo atawapigia simu waandishi kuuliza kama walimuona alivyozimia.R.I.P Great man
Roho mbaya for what!! kwa hawa Makahaba!!??.......huna updates kwamba leo kulikuwa na mashindano ya kuzimia pale msibani? una habari Irene Uwoya naye kazimia? kwa taarifa nilizonazo makahaba 50 wamezimia leo kwenye huu msiba. ila bado sina taarifa ni nani kati yao alipatia kuzimia zaidi.Punguzeni Roho mbaya..
Roho mbaya for what!! kwa hawa Makahaba!!??.......huna updates kwamba leo kulikuwa na mashindano ya kuzimia pale msibani? una habari Irene Uwoya naye kazimia? kwa taarifa nilizonazo makahaba 50 wamezimia leo kwenye huu msiba. ila bado sina taarifa ni nani kati yao alipatia kuzimia zaidi.
Upande wa wanaume wauza sura wewe hata kama ulikuwa una funguo za gari ili ushike mkokoni ilikuwa ni ruksa kuja na hata na funguo za kabati lako la nguo, alimradi mambo yote ni mwemweremwemwere tu!!
Hata James Ilikuwa Hivi hivivi......lakin nadhani Dandu...(sinta, sijui nani alizimiaa!) Aaaagh! Wote wasukuma!! wote vifo vyao ni ka-ulabu/ mademu/ accident!!!!!!!!!! Vijana wa kisukuma vipi Pombe na.........!!! ( watani zangu)
Yap kwenye kipindi cha Mkasi by SALAMA alisema " i love attention"
Roho mbaya for what!! kwa hawa Makahaba!!??.......huna updates kwamba leo kulikuwa na mashindano ya kuzimia pale msibani? una habari Irene Uwoya naye kazimia? kwa taarifa nilizonazo makahaba 50 wamezimia leo kwenye huu
msiba. ila bado sina taarifa ni nani kati yao alipatia kuzimia zaidi.
Upande wa wanaume wauza sura wewe hata kama ulikuwa una funguo za gari ili ushike mkokoni ilikuwa ni ruksa kuja na hata na funguo za kabati lako la nguo, alimradi mambo yote ni mwemweremwemwere tu!!