whatsapp online
Member
- Jan 17, 2017
- 86
- 95
mbona hiyo si sauti ya dada angu wema?
Vijana wa luumba hao hatare kwl kwl,,, but tumewazoea ha tudanganyiki 2020 ninyi na dikteta uchwara wenu ni out,,Mwigizaji mwenyewe huyu hapa: Sauti hiii ya nani?
Ukweli utabainika tu,angalia hiyo video!Hongera kwa kujitahidi kutoelewa, maana katika kazi ngumu kwenye jambo hili ni kujitahidi na kutafutiza sababu za kutoelewa kuwa ni kweli.
Binafsi naamini issue hii ni kweli na haina ubishi. Ila sioni sababu ya kuichukulia serious. Mbona ni jambo dogo na la kawaida tu hili? Hivi wangapi wangepata fursa ya kuwa na Wema wangeresist?
Hebu muacheni Mbowe jamani.
unajua nitashangaa kama mbowe anapiga na wema ni kweli,the girl is empty headedSteven ndo alinegotiate Wema ahamie Chadema,audio ya Wema na Mbowe ni kweli.Sema Wema kaamua kuiachia ili alipwe mpunga waliopatana kipindi anahamia Chadema,Ngonja video zitoke Mbowe akiwa yupo uvinza kwa Wema ndo mtaelewa.
Kumframe Mbowe??Kinachoniuma ni kuwa hizi kodi zetu ndizo zinatumiwa kufanya haya matukio.
Kwani huko mjengoni hakuna bandika bandua?Hapa Mwenyekiti umetuangusha hiyo papuchi ya huyo binti ni bandika bandua Sasa Nini wewe kimekusibu ,Warembo wamejaa mjengoni kibao si ungechukua huko ona Sasa yametukuta
Sasa si wameshagusanisha viungo vya uzazi,heshima itatoka wapi?unajua nitashangaa kama mbowe anapiga p*mbu huyo wema,the girl is empty headed
halafu ni kama ana kizizi flani..umenotice eti anamuita mbowe kaka wakati mbowe anaweza kumzaa!!!!!
kama ni kweli hii skendo ni zaidi ya watergate kulaleki
Hebu weka na video yake tuoneAsema ujumbe huo utakuwa umesambazwa kutokea kwa Mbowe mwenyewe(mke wake au girl friend wake) Msikilize Wema:
Yangu ina mwenyewe tayariBasi mpe yako, mambo yaishe!
Anaitwa ndugukurusurukujoDuh ndo maana kuna yule msanii gani sijui nimemsahau jina alishaimba ule wimbo unasema "Hii kitu hii kitu hii kitu hii Hii kitu hii...." nimesahau muendelezo wake, anayekumbuka auendeleze