Tetesi: Wema athibitisha ujumbe wa sauti kati yake na Mbowe ni wa kweli

Status
Not open for further replies.
Hapa Mwenyekiti umetuangusha hiyo papuchi ya huyo binti ni bandika bandua Sasa Nini wewe kimekusibu ,Warembo wamejaa mjengoni kibao si ungechukua huko ona Sasa yametukuta
Basi mpe yako, mambo yaishe!
 
Dikteta uchwara kazaa na Shemej yake (mdogo wake na mke wake) hilo hamlion,viwanda vimewashinda mnaanza majungu ya uzinzi, tunajua propaganda hzo znapkiwa lumumba
Kampa na ukurugenzi kabisa
 
Tive mimi nimechoka bwana,Steven Nyerere on the making,tive mzee wa fitina ,Mbowe mlipe wema Dau lake,mlimdanganya ahame CCM kwa ahadi kem kem.Mnapata ruzuku,mpeni Wema chake
Nadhani umeshaelewa sasa malizia kwa kuchek hiyo video
 
Duh ndo maana kuna yule msanii gani sijui nimemsahau jina alishaimba ule wimbo unasema "Hii kitu hii kitu hii kitu hii Hii kitu hii...." nimesahau muendelezo wake, anayekumbuka auendeleze
Ndukusukurukucho na Late John Walker
 
Asema ujumbe huo utakuwa umesambazwa kutokea kwa Mbowe mwenyewe(mke wake au girl friend wake) Msikilize Wema:

Kama huu si uongo wa kitoto Mbowe mwenyewe angesambaza huo ujumbe ili iweje??!!
 
hahhha huu ulimwengu huu c mzuri hata kidogo, daah tena ulimwengu wa huba, HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA.
 
Naona aliyepewa kazi ya "kuigiza" sauti anamtaja Steve hapo mwisho kuwa amechoka "kurecord" hii "episode"

Hii yote ni kazi ya mikono ya Steve Nyerere!!Atarudije mjini na kuendelea kukaa bila kujua kodi ya nyumba inatafutwaje?ni kutumika na hawa wanasaisa wa siasa za kuchafuana

Chadema nao wanajibu mapigo kwa kumchafua Mwenyekiti wa Chama dola,tena kwa kashfa kubwakubwa sana....Hawa vijana tunaowalea kuwa viongozi wa baadae tunawapa misingi ya hovyo hovyo hovyo sana sana.Misingi ya siasa za kuchafuana mitandaoni.

Vijana wametengeneza magroup ya WhatsApp fake,na wengine nao wakajibu kwa magroup fake

,
Yaani kwa mtu uliyewahi/uliye karibu na hao wanaoonekana kuwa ndio walikuwa wanajiandikia hizo msgs,utajua tu huu ni uongo.

Nina miaka zaidi ya kumi nikiandikiana Msgs na Lissu na Mdee,iwe ni kwa e-mail au SMs,huo sio uandishi wa Lissu wala Mdee.Kwa jinsi nilivyozoea kuandikiana nao Msgs,eti Lissu anaandika "Eee bwana"??Huyu sio Lissu hata kidogo

Hata huo uandishi wa Polepole ni wa kuigiza!!Kuanzia alieanza na "voice note" mpaka hawa wa "screenshot" ni upuuzi mtupu

Tunaandaa vijana wa hovyo kabisa.

Hivi mnafikiri Mwalimu na "uadilifu" wake hakuwa na mpango wa kando!?Hivi mnadhani kina Kawawa walikuwa Malaika??Hivi mnadhani hao kina Bhoke Mnaka na kina Sozingwa walikuwa Malaika?Lakini mbona sisi vijana wa zamani hayo mambo tulifundishwa kuyaweka kwenye koo na kifuani ili yasifike mdomoni na kupayukwa??

Vijana wa CCM na Upinzani jifunzeni siasa za kistaarabu!!Mtatuharibia nchi
Ulianza kipumbavu mada yako, hata huko mwishoni sina haja ya kuisoma tena.
 
Ni Steve Nyerere,akiwa na mtu anayejirekodi kwa kumuigiza Wema
Sasa huyo mtu kachoka kurudia mara kwa mara ili aipatie sauti.Ndio maana anasema "Steve mi nimechoka bhana"

Michezo ya vijana wa mjini,wasiofanya kazi kwa kutegemea mizinga ya wanasiasa

Steve Nyerere tena acheni kumuingiza kwenye mahaba haya, upimp aliachwa nao CCM
 
Kwa jinsi Tundu Lissu alivyo mwiba kwa serikali zote zilizokuwepo madarakani (toka enzi za Mkapa), angekuwa na makandokando kama Mbowe basi angekuwa ameshashughulikiwa na Yuvisisimizi. Lazima tukubali kuwa Mbowe ni dhaifu kwa ngono, na wabaya wake wanatumia udhaifu huo vizuri. Hata kama haya mambo ni ya kutengeneza, sote tunajua Mbowe na K ni sawa na bendera na upepo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom