Max kissey
Member
- Jan 28, 2016
- 81
- 63
Basi mpe yako, mambo yaishe!Hapa Mwenyekiti umetuangusha hiyo papuchi ya huyo binti ni bandika bandua Sasa Nini wewe kimekusibu ,Warembo wamejaa mjengoni kibao si ungechukua huko ona Sasa yametukuta
Kampa na ukurugenzi kabisaDikteta uchwara kazaa na Shemej yake (mdogo wake na mke wake) hilo hamlion,viwanda vimewashinda mnaanza majungu ya uzinzi, tunajua propaganda hzo znapkiwa lumumba
Atakuwa amekuvua wewekama ni kweli mwenyekiti ametuvua nguo
Makanikia hampati daddeki, Mbowe Kahamishia Mgodi CDMtunataka makininia yetu.
Nadhani umeshaelewa sasa malizia kwa kuchek hiyo videoTive mimi nimechoka bwana,Steven Nyerere on the making,tive mzee wa fitina ,Mbowe mlipe wema Dau lake,mlimdanganya ahame CCM kwa ahadi kem kem.Mnapata ruzuku,mpeni Wema chake
Ndukusukurukucho na Late John WalkerDuh ndo maana kuna yule msanii gani sijui nimemsahau jina alishaimba ule wimbo unasema "Hii kitu hii kitu hii kitu hii Hii kitu hii...." nimesahau muendelezo wake, anayekumbuka auendeleze
Sasa mnakanusha nini kama ni sifa?Kut....mba ni sifa Kwa mwanaume... Ingekua skendo ya ushoga apo ndo tungeshangaa.
Wewe ahadi ulizopewa umetimiziwa? Au kwa kuwa unajali?Oyaaaaaaa
Waliobisha wajeeeeeee
Inaelekea ahadi mlizompa hazioni sasa kaamua kuyaongea kwasababu hajali
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaa
Hao wenye nia ovu ndio wamemtuma amgegede Wema! How pathetic!
Asema ujumbe huo utakuwa umesambazwa kutokea kwa Mbowe mwenyewe(mke wake au girl friend wake) Msikilize Wema:
Steve on workAsema ujumbe huo utakuwa umesambazwa kutokea kwa Mbowe mwenyewe(mke wake au girl friend wake) Msikilize Wema:
NI feki kila kitu! Nchi ya feki feki!Sasa mnakanusha nini kama ni sifa?
Hehehe ushabiki raha sana, kaza buti mkuuMwanzo nilivyosikiliza ile sauti clip nilijua kweli, ila baada ya kutoka na hii ya pili nina wasi wasi ni mchezo unachezwa kuchafua watu.
Ulianza kipumbavu mada yako, hata huko mwishoni sina haja ya kuisoma tena.Naona aliyepewa kazi ya "kuigiza" sauti anamtaja Steve hapo mwisho kuwa amechoka "kurecord" hii "episode"
Hii yote ni kazi ya mikono ya Steve Nyerere!!Atarudije mjini na kuendelea kukaa bila kujua kodi ya nyumba inatafutwaje?ni kutumika na hawa wanasaisa wa siasa za kuchafuana
Chadema nao wanajibu mapigo kwa kumchafua Mwenyekiti wa Chama dola,tena kwa kashfa kubwakubwa sana....Hawa vijana tunaowalea kuwa viongozi wa baadae tunawapa misingi ya hovyo hovyo hovyo sana sana.Misingi ya siasa za kuchafuana mitandaoni.
Vijana wametengeneza magroup ya WhatsApp fake,na wengine nao wakajibu kwa magroup fake
,
Yaani kwa mtu uliyewahi/uliye karibu na hao wanaoonekana kuwa ndio walikuwa wanajiandikia hizo msgs,utajua tu huu ni uongo.
Nina miaka zaidi ya kumi nikiandikiana Msgs na Lissu na Mdee,iwe ni kwa e-mail au SMs,huo sio uandishi wa Lissu wala Mdee.Kwa jinsi nilivyozoea kuandikiana nao Msgs,eti Lissu anaandika "Eee bwana"??Huyu sio Lissu hata kidogo
Hata huo uandishi wa Polepole ni wa kuigiza!!Kuanzia alieanza na "voice note" mpaka hawa wa "screenshot" ni upuuzi mtupu
Tunaandaa vijana wa hovyo kabisa.
Hivi mnafikiri Mwalimu na "uadilifu" wake hakuwa na mpango wa kando!?Hivi mnadhani kina Kawawa walikuwa Malaika??Hivi mnadhani hao kina Bhoke Mnaka na kina Sozingwa walikuwa Malaika?Lakini mbona sisi vijana wa zamani hayo mambo tulifundishwa kuyaweka kwenye koo na kifuani ili yasifike mdomoni na kupayukwa??
Vijana wa CCM na Upinzani jifunzeni siasa za kistaarabu!!Mtatuharibia nchi
Ni Steve Nyerere,akiwa na mtu anayejirekodi kwa kumuigiza Wema
Sasa huyo mtu kachoka kurudia mara kwa mara ili aipatie sauti.Ndio maana anasema "Steve mi nimechoka bhana"
Michezo ya vijana wa mjini,wasiofanya kazi kwa kutegemea mizinga ya wanasiasa
Haya mambo hayaSasa mbona anajirekodi tu? Wew umeitoa wapi hiyo sauti?