Well done Kubenea-Bunge Maalum la Katiba halina Mamlaka

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,886
13,181
Mahakama Kuu Dar es salaam imetoa tamko kuwa Bunge Maalum la Katiba limevunja sheria kwa kuwaita wadau kutoa maoni Bungeni hapo, na kusema BMK haina mamlaka kufanya hivyo.

Tusubiri kesho kwa ufafanuzi.

Heko Kubenea na jopo la mawakili kwani hakuna kuandamana kunakoweza kufanikiwa kama kutumia uwanda wa sheria.

Source ITV saa mbili
 
Mahakama itakuwa imefanya la maana kama itaamuru bunge la posho lisitishwe mara moja wajumbe warudi kwao wengine mashamba yameota majani
 
Bado case inaendelea alhamisi na wanacho taka bado hakijafanikiwa!
Mambo kama!
Kusitishwa kwa bunge
Tafsiri ya kifungu cha 25
 
Mle mjengoni napo pana wanasheria,sijui walikengeuka?Mzee 6 na rasimu yake ya tatu wanakazi.Ngoja tusubiri vioja
 
Sitta hana tofauti na shetani,tofauti yao ni kua shetani ana tambulika na Mungu na sitta hatambuliki kwa Mungu....
 
Sasa tutaona court jester ni nani kati kubenea na mwenyekiti wa bunge la mainterahamwe.
 
Mahakama Kuu Dar es salaam imetoa tamko kuwa Bunge Maalum la Katiba limevunja sheria kwa kuwaita wadau kutoa maoni Bungeni hapo, na kusema BMK haina mamlaka kufanya hivyo.
Tusubiri kesho kwa ufafanuzi!

Heko Kubenea na jopo la mawakili kwani hakuna kuandamana kunakoweza kufanikiwa kama kutumia uwanda wa sheria.

Source ITV saa mbili

- Source ni ITV kumbe duh hahahahahahahah na mambo ya Kubenea kwanza alikuwa kundi la Mtandao akahama sijui sasa yupo kundi lipi la Urais?

Le Mutuz
 
Ufafanuzi wa Kesho utatolewa na nani?
Mahakama au ni press conference ? Hebu
Tuwekeeni tujue sehemu nyingine nimesoma
Kuwa maamuzi mpaka ijumaa je maamuzi
Ya Leo ni mwelekeo au sehemu ya maamuzi?
 
Back
Top Bottom