Weka picha za mifugo yenye magonjwa mbalimbali upate ushauri wa tiba na kinga kwa wataalam

Plastic

JF-Expert Member
Jun 2, 2019
220
332
Habari wanajamvi.

Je, una mifugo inayosumbuliwa na maradhi mbalimbali?

Ningependa tutumie uzi huu kushare picha za wanyama wa kufugwa (ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, kuku, bata n.k) tunaowafuga au tuliowahi kukutana nao wakisumbuliwa na magonjwa mbalimbali ili tujifunze na kupata ushauri wa tiba kutoka kwa wataalamu walio humu.

Binafsi naomba msaada kwa hili;

Kondoo huyu ana hali kama inavyo onekana hapo na upumuaji wake ni wa shida.
Tiba inaweza kuwa nini?
20230922_085723.jpg


Natanguliza shukrani.
 
Habari wanajamvi.

Je, una mifugo inayosumbuliwa na maradhi mbalimbali?

Ningependa tutumie uzi huu kushare picha za wanyama wa kufugwa (ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, kuku, bata n.k) tunaowafuga au tuliowahi kukutana nao wakisumbuliwa na magonjwa mbalimbali ili tujifunze na kupata ushauri wa tiba kutoka kwa wataalamu walio humu.

Binafsi naomba msaada kwa hili;

Kondoo huyu ana hali kama inavyo onekana hapo na upumuaji wake ni wa shida.
Tiba inaweza kuwa nini?
View attachment 2760550

Natanguliza shukrani.
Muone vet Dr. nashauri tuwatumie wataalamu waliosomea hizi taaluma.
 
Back
Top Bottom