Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Hivi majuzi tuliletewa habari nzuri juu ya kuanzishwa kwa weeklink Tanzania itakayotoa fursa ya kuweka wazi maovu yote katika jamii ya watanzania. Nauliza hiyo weeklink imepotelea wapi, au ni ya wateule kidogo?