Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Maybe umesahau kitu kingine shemzigwa,

Japo naweza kuwa naenda nje ya topic niwie radhi, I doubt tovuti hiyo inaweza kupewa tenda kampuni ya kigeni kwakuwa serikali imekosa wazalendo wenye uwezo wa kuitengeneza na kuiendesha. Nafurahi kitu kimoja, watu wako tayari na si mimi pekee kutoa mchango wao wa BURE kwa serikali na kinachofurahisha jamaa hapo juu (defunkadelic) kajitolea hadi kusaidia kazi ya Uwanja wa ndege wa Airport. Wenyewe kama wamemnukuu vema anachotaka kufanya jamaa ni kitu adimu sana na muhimu kwa taifa.

Thanks
defunkadelic bro! Una moyo

bila shukrani mkuu, ni kitu kidogo kuchangia chochote nchini. Wabongo wapo wengi tu wana uwezo wa kuchangia vitu mbalimbali katika maendeleo, however little it is, we will get there.
 
hii hii stori iliishia wapi maana naona mpaka leo kimya tangu atangaze ili wazo kule Ngurdoto
 
Approximately 989 days and counting tangu JK aingie madarakani IKULU yetu tukufu bado haina WEBSITE!

That said FOREIGN AFFAIRS, HOME AFFAIRS, WAZIRI MKUU , RAIS WA ZANZIBAR, MAKAMU WA RAIS wote hao hawana websites

Website ya BUNGE inasemekana ilitengenzwa na MJERUMANI lakini bado alikuwa anagombania domain name na jamaa, webiste ya Maoni is another national Joke




http://www.statehouse.go.tz/

The Website is currently under construction. Please visit us soon

© Copyright 2006 All Rights Reserved statehouse.go.tz





to be continued....
 
... aibu tupu walah...
enewei hii ndiyo bongo ambapo maneno ni meeeengi jukwaani lakini utekelezaji ni -0 negative zero
 
Wakiweka website mnawachunguza sana, nondoz zao zote wanazoziweka mnazisoma kwa makini sana. Tangu Mwanakijiji awawashie moto Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, sidhani kama kuna wizara au idara ya serikali itakuwa inaanika nondo zake kwenye website yake, maana ni kama vile unajitakia kesi. Mtindo mpya wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ni kuweka percent za mikopo tu bila kuweka figures maana wameona ulaji wao unaweza kuyeyuka ivi ivi sababu ya uchunguzi wa akina Mwanakijiji!
 
Wakiweka website mnawachunguza sana, nondoz zao zote wanazoziweka mnazisoma kwa makini sana. Tangu Mwanakijiji awawashie moto Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, sidhani kama kuna wizara au idara ya serikali itakuwa inaanika nondo zake kwenye website yake, maana ni kama vile unajitakia kesi. Mtindo mpya wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ni kuweka percent za mikopo tu bila kuweka figures maana wameona ulaji wao unaweza kuyeyuka ivi ivi sababu ya uchunguzi wa akina Mwanakijiji!

... kwa hiyo wanawaogopa Watanzania ingawa wanafanya kazi waliyotumwa na watanzania???

|Ukiona hivyo ujue hawana uhakina na wanachokifanya....
 
... aibu tupu walah...
enewei hii ndiyo bongo ambapo maneno ni meeeengi jukwaani lakini utekelezaji ni -0 negative zero


Ndiyo Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya hiyoooo..labda itajengwa miezi michache kabla ya October, 2010.
 
Ukiona hivyo ujue hawana uhakina na wanachokifanya....

Siyo kwamba hawana uhakika na kile wanachokifanya, bali hawataki mjue namna wanavyokula nchi, maana sometimes wanaweka nondoz ambazo zinaonyesha ulaji wao kama jinsi HESLB walivyoumbuliwa na Mwanakijiji na wakaishia kuweka kwapani allocations za mikopo ya wanafunzi!
 
Hawana pesa za kumlipa mtaalamu kwani wameziiba zote.

Wako kujipatia mkate wao na sio kuweka habari ili muzione.
 
unaweza kusikia kuwa zimetengwa shilingi milioni 500 kwa ajili ya website ya ikulu. Website ya serikali ambayo haifanyi kazi nasikia imetengenezwa kwa shilingi milioni 300, lakini kwa jinsi ilivyo inaonekana kama imetenenzwa kwa dola 300. nadhani ni afadhari ikulu isiwe na website. Hata ikitengenezwa gharama za kuiendesha zinaweza kuwa inflated mpaka ukashangaa mwenyewe.
 
Game Theory,

Leo Mi nimefanikiwa kufungua hapa http://statehouse.go.tz/president/ , naona Salva kaja na ari mpya au alipita hapa nini?. Interestingly ni kwenye home page kuna Vision, Mission na functions za presidency. Hizi nathani zinahitaji own thread for discussion

Mheshimiwa naweza kukuambia kuwa mimi nimeweka kama vile hobby kujua what ikulu have been up to especially katika masuala haya ya kuconnect na wanajamiii

Hii siyo webiete ya IKULU na wala msimpe Salva any credit kwa hili kwani wao walichokifanya wamekuja FJ wameona jinsi tunavyowabebea bango kisha probably wakampigia simu bwana yule mwenye KIKWETESHEIN.COM sasa wakaamua kuchukua hiki kipande cha JAKAYA KIKWETE


Nimetazama hizi domain names naweza kukupa info ifuatayo:


Domain Name: kikweteshein.com

Status: clientDeleteProhibited, clientRenewProhibited, clientTransferProhibited, clientUpdateProhibited

Registrar: GODADDY.COM, INC.
Whois Server: whois.godaddy.com
Referral URL: http://registrar.godaddy.com

Expiration Date: 2008-05-10
Creation Date: 2005-05-10
Last Update Date: 2006-09-23

Name Servers:
ns1.digitalcapitalinvestment.com
ns2.digitalcapitalinvestment.com

Sasa lets move to hiyo the so called website ya IKULU


hapo hakuna kitu kwani ukienda kwenye hii webisite http://www.kikweteshein.com/tanzania/ utaona pembeni kuna chini kuli kuna hiyo THE STATE HOUSE sasa ukibonyeza hiyo itafunguka nini?



http://statehouse.go.tz/president/

sasa hawa huyu salva na wenzake waache kutuchezea akili zetu

kuna habari kuwa webiste ya maoni iligharimu dola laki tatu sasa sijui kama kuna ukweli kwenye hilo lakini msishangae wakijidai hii link hapo juu wameinunua kwa dola milioni moja
 
Tumpe muda kaka Salva arekebishe mambo...

sawa tunampa muda yeye na watu wake laklini he has to trade carefully. JK alisema kuwa website jamaa wameweka kambi Bgamoyo that was mwaka moja na nusu hivi hawa kwa nini wanataka kutufanya sisi watoto wadogo?


By the way tusisahu kuwa yeye kama communications director wa Ikulu pamoja na wenzie itabidi waweke na CV zao kwenye hiyo website ili iwe rahisi kujua tunawasiliana na nani
 
utumbo mtupu
hivi ni lini watendaji wa erikali wataamua kufanya kazi kama sokoine????
 
utumbo mtupu
hivi ni lini watendaji wa serikali wataamua kufanya kazi kama sokoine????
 
Back
Top Bottom