zamani tulitumia 0.facebook.com kufungua proxy kunako vodacom ambayo waliifunga.
naomba mwenye kujua mpya anisaidie kupitia PM.naona wamepinguza gharama eti 5mb sh 250 nk lakini tunatafunwa sana
ebu cheki gharama za vodacom mkwa sasa
5mb-250 daily
25mb-450 daily
50mb-700 daily
Non stop-10,000 weekly
lakini bado unataka vya bure? AIBUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.