wiseboy niamkie haraka sana!daaah umenikumbusha nyuma xana mwaka 96 nikiwa darasa la 3 pale bumangi primary school, chini ya mwalimu wangu masinde...sasa ajabu hiki kitabu mwanzo mwisho ni mr. & mrs daudi, mussa na neema baaasi.
umekitoa wapi i see?nataka niwafundishie wanangu hata home bwana!manake mule kulikuwa na english ya matuymizi isivyo kawaida sio haya ma macmillan sijui essential english ah!au kuna vile vya sekondari vya ENGLISH IN USE vilikuwa vya wakenya!wacha kabisa!
wiseboy niamkie haraka sana!
Unapenda shkamoo mkuu!! Hahaha! Hapo nilikuwa chuo mwaka wa mwisho engineering! Sasa vipi unanipa shikamoo yangu?
haya na wewe niamkie haraka sana maana hapo nilikuwa nimeshamaliza chuo na nimeanza kazi miaka 3 iliyopitaUnapenda shkamoo mkuu!! Hahaha! Hapo nilikuwa chuo mwaka wa mwisho engineering! Sasa vipi unanipa shikamoo yangu?
haya na wewe niamkie haraka sana maana hapo nilikuwa nimeshamaliza chuo na nimeanza kazi miaka 3 iliyopita
marahaba mjukuu wangu. ha haaaaaa, kila mtu na mnyonge wake bwana.................... subiri na mimi atokee kingunge hapa, lol!Shikamoo mara 70 hahahhaa
madawati mpaka leo kuna sehemu hayapo mkuu,ila ni kweli ametukumbusha kipindi ambacho elimu ilikuwa elimu.Dah... Yan enzi hizo tulivyokuwa tunasoma nilikuwa napata picha hao watu ni kweli wana exist..! Aisee nimekumbuka mbali sana enzi za kukaa chini, hakukuwa na madawati darasani..! Lol
Mambo ya Mtakuja Village na huyo hapo ni Mr Daudi na mkewe.
Kuna kale ka wimbo:
Are you sleeping
Are you sleeping
Brother Musa
Brother musa?