YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
- Thread starter
- #21
Teknolojia instengenezwa na binadamu wenye akili nyingi ambao ni wazunguHoja zako Hazina maana
Kuzaa hakuna umuhimu kwenye dunia ya sasa hivi ambayo mambo yanayomuhusu Binadamu yanafanywa na teknolojia
Kizazi chao kikiisha tumeisha .Wewe unajua kutumia teknolijia baada ya kuiona iko tayari wazungu wameshaitengeneza sio waafrika ambao bara letu ndio bara linaloongoza duniani kwa kuwa na watu wengi wenye akili ndogo kuliko mabara yote kwa hiyo hata wajazane ulaya au marekani ni kuongeza tu idadi ya wajinga kwenye hayo mabara.