maalimu shewedy
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 860
- 690
Tunawauliza kama ni upuuzi nani kaonewa...nani ambaye kapelekwa kubakiwa makosa?
Nakuuliza tena......
Nipe sababu ya haya Mataifa kutojiunga Ama wanaogopa nini kujiunga na hicho kichaka kinacho itwa ICC.....???
Marekani
Israel
China
Urusi nk.