py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Kwahy wa Africa hamuwezi kufanya jambo mpk muwashirikishe ma masters wenuNchi za Africa zinaongozwa na madikteta ndio maana tuzo ya MO Ibrahim ina hang coz hakuna mwenye sifa sasa leo tunafurahi kujiondoa ICC du kweli hili bara limelaanika
Africa tutaendelea kutawaliwa miaka mingi ase ,kila kitu ni dependent ..bado tuna fikra ya kutawaliwa tawaliwa tu