Waziri Zambia ajiuzulu baada ya video inayomuonesha akipokea rushwa kusambaa. Mafisadi kumbe ndivyo namna wanakula keki ya Taifa!

Huyu jamaa ni mashamba sana unaazaje kupokea maburungutu ya fedha wakati kuna electronic system za kutuma pesa
Kwa cheo chake, kupokea kiasi kikubwa cha pesa kwa e systems ni hatari kuliko hiyo aliyotumia.

Huoni escrow mtandao ulivyokua unadakwa kirahisi kwa kuingizia pesa kwenye accounts zao.

Ukiwa mpigaji ni mwendo wa cash,
 
Mnashangaa Zambia.wakati Tanganyika hii wamejaa kama uyo waziri w zmb. Daaah hii Tanganyika asinge jiuzulu kabisaa.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kwa cheo chake, kupokea kiasi kikubwa cha pesa kwa e systems ni hatari kuliko hiyo aliyotumia.

Huoni escrow mtandao ulivyokua unadakwa kirahisi kwa kuingizia pesa kwenye accounts zao.

Ukiwa mpigaji ni mwendo wa cash,
Si zinaweza kugawanya hata kwa jamaa na marafiki na ndugu.. mpaka mzigo wote uishe halafu kww dunia ya,tatu sio issue sana labda huko majuu
 
Si zinaweza kugawanya hata kwa jamaa na marafiki na ndugu.. mpaka mzigo wote uishe halafu kww dunia ya,tatu sio issue sana labda huko majuu
Yaani umpe rafiki 100M akushikie, we jamaa yaani we mchizi wako adeposit 100M utiacha salama wewe??
 
Back
Top Bottom