Waziri wa Uchukuzi atoa ufafanuzi kuhusu ndege mpya na ujenzi wa reli ya Dar-Mwanza

Ndege za mapanga boi...waendelee kubana matumizi ila siyo kwenye roho za watu..
Za mapangaboi ndiyo the best kwa mazingira yetu yenye ndege asilia (birds) wengi angani. Hizo zingine huwa zinawafyonza hao ndege asilia kwenye injini zake ambao huharibu injini na kuhatarisha roho za abiria. Ndege za pangaboi hufyeka hao ndege asilia na kuwa kitoweo bila kudhuru injini zake.
 
watanzania na sisi hatutaki kuvishughulisha vichwa vyetu eeeenh hivi tunawezaje kufananisha vitu visivyo fanana kiuwezo? hivi ukubwa wa injini uko sawa mpaka tuseme 3.7 na 1.7 au idadi ya abiria na mizigo tuambiwe kwanza
 
watanzania na sisi hatutaki kuvishughulisha vichwa vyetu eeeenh hivi tunawezaje kufananisha vitu visivyo fanana kiuwezo? hivi ukubwa wa injini uko sawa mpaka tuseme 3.7 na 1.7 au idadi ya abiria na mizigo tuambiwe kwanza
siufanye magazijuto, sijui umesoma wapi shule ya msingi!
 
nashauri prof mbarawa aende na kwa sam mahela akalielezee hili, wale waliokatwa mikia wapate kuelewa
 
siasa tupu, hata mv bagamoyo tuliambiwa itapunguza kero ya usafiri barabara ya bagamoyo, wizi mtupu!
 
Silaumu wananchi kupinga kila lenye nia njema,ni malezi tuliolelewa ya kuto kuaminiana,ila awamu hii mimi inanipa matumaini sana,let us wait and see,Mungu ibariki Tanzania,pia tukumbuke kuwaombea hawa viongozi wetu waweze kuwa waadilifu maana bila ya kumtanguliza Mungu tusitegemee muujiza.
Siyo muujiza ni muugiza...!
 
Hongera sana kwa serikali, ni mwanzo mzuri. Tukiendelea hivi tutapiga hatua za kuridhisha kabisa.
 
Hapo sina swali maelezo nimeyaelewa
Ukizingatia mimi ni mtu wa aviation sijaona siasa hapo
Asante Baba Kazi njema
 
Hawa watu waulizwe ingekuwa ni hela yao waliyoitolea jasho wenyewe wangenunua hizo ndege na tena kwa cash au wanafanya hivyo kwa kuwa siyo zao? Kama tumenunua hizi ndege kwa ajili tu ya kutoa huduma sawa lakini tusitarajie litajiendesha lenyewe kwa mapato yake. Tutakuwa tuna inject hela kwenye hizi ndege kila siku. Hizo hela labda tungenunua hisa kwenye makampuni yaliyopo ingekuwa na maana zaidi. Kwa hela hiyo tungeweza hata kuinfluence sera za kampuni hizo tukuwa wanahisa in terms ya routes huku tukipata faida inayotokana na kuendeshwa kibiashara na siyo kisiasa.

Hizi ndege watakuwa wanapanda wanasiasa na watendaji wa serikali na watakuwa hawalipi kama ambavyo NHC inaidai serikali mabilioni lakini bado ina-invest mabilioni zaidi kuipa huduma.
 
hapo nmeelewa
Waziri ana washauri MBUMBUMBU sana kwenye kitengo cha uchumi
Nadhani kashauriwa na Prof Lipumba wa Mapumba
Dunia ya sasa ya credits unajisifia kulipa mamilion ya dola kwa cash?
Hajui maana ya refinance ktk future value?
Dollar value aliyolipa leo itakuwa chini ya malipo na riba yake wangemaliza hilo deni ktk miaka 20
Hajui lolote kuhusu inflation?USA na utajiri wao Obama anachukua hadi mafuta kwa mkopo
Then hela ambayo leo wamelipa wangewekeza ktk shughuli za maendeleo
Compound interest kwa wafanyakazi wa serikali angewakopesha hela hii

Kitwanga alikuwa sahihi,Waziri utumbo tu
 
Serikali ya ccm haijawahi kufanikiwa ktk biashara yoyote zaidi ya ufisadi, na hizi ndege hazitakuwa na tija yoyote kwa taifa kwa sbb ccm imelaaniwa. Zitaanza kufa moja baada ya nyingine. Sio maneno yangu.

Ila ukarabati wa reli naupongeza.
 
Hapo sina swali maelezo nimeyaelewa
Ukizingatia mimi ni mtu wa aviation sijaona siasa hapo
Asante Baba Kazi njema
Wewe mwana sayansi sio mchumi
Kiuchumi Waziri anachekesha hapo
Kama tuna IRR nzuri na kama tunakopesheka
Kwa nn utoe cash Wakati credit bureau yetu ipo ktk AAA hata AAB+?
Gas yetu Mtwara ni guarantor nzuri sana,hamna atakaye kataa kutukopesha tumlipe kila mwez
 
Back
Top Bottom