Waziri wa Uchukuzi atoa ufafanuzi kuhusu ndege mpya na ujenzi wa reli ya Dar-Mwanza

Za mapangaboi ndiyo the best kwa mazingira yetu yenye ndege asilia (birds) wengi angani. Hizo zingine huwa zinawafyonza hao ndege asilia kwenye injini zake ambao huharibu injini na kuhatarisha roho za abiria. Ndege za pangaboi hufyeka hao ndege asilia na kuwa kitoweo bila kudhuru injini zake.
Tehee kwahiyo utetezi kama huu unampa raia anayejitambua kama mimi na kisha anakwambia bravo(well done) mheshimiwa?
 
Kama safari ya Mwanza to Dar ni saa moja na nusu hapo tayari wamekwepana na wafanyabiashara. Mi nilidhani wameagiza ndege baada ya kuangalia mazingira ya sasa ya soko ambayo watu wamekuwa wajanja wanataka kusafiri kwa muda mfupi. Lets wait and see
 
Hapo kwenye reli (kama ni kweli) big up sana JPM, umenikunwa kwelikweli ila 2020 bado sitakupa kura wewe wala CCM!
Kura yako haitaki ina mkosi , kila unayempa anashindwa

Kuanzia udiwani, ubunge na urais wote uliowapa walidondoka

Baki tu na kura yako
 
Ametolea mfano Fast Jet kutoka Dar kwenda Mwanza inatumia mafuta tani 3.7 wakati hizi za Bombadier zinatumia tani 1.7
Okay, hapo kwenye kula mafuta alipolinganisha na Fastjet, huyu Waziri ni mpotoshaji.

Waziri ame compare hivi vi dege against ndege gani za fast jet? Fleet ya Fast jet ina ndege nne, zote nne ni Airbus 319, moja inabeba watu 156, tatu zinabeba watu 145. More than twice the size ya vi dege vya Kagame. Fastjet haina vi dege vya watu 70. Chanzo hiki hapa.

Kwa hiyo huwezi ku compare ulaji wa mafuta wa Fastjest na hivi vi dege vya Kagame, huyu Mbarawa si ni Engineer huyu, au?

Toyota DCM inakula diesel kuliko Toyota Hiace. Kwa nini basi wafanyabiashara wote wa daladala wasi invest kwenye vi Hiace? Kwa sababu DCM lina faida zaidi japo linakula mafuta zaidi kuliko kipanya, na ndio maana vipanya vilipigwa marufuku sehemu kibao.
 
..mashirika ya ndege faida yake ni ndogo sana, na mara nyingi ni hasara.

..wakati mwingine inabidi ukubali kupata hasara kwa kipindi fulani kabla shirika la ndege halijaanza kuleta faida. Now, can we afford it?

..labda tungeimarisha sekta ya utalii kwanza, halafu ndiyo tuanzishe shirika letu la ndege.
Kila sekta ina umuhimu wake , acha atimize aliyo ahidi hata kwenye utalii atafika , tatizo lenu ni mijadala ya uchaguzi mwaka Jana mliona hawez kufanya lolote sasa hata mwaka hajamaliza mambo yameanza kujipa


Nawashauri , acheni roho mbaya mtakufa na kihoro bure
 
Kama safari ya Mwanza to Dar ni saa moja na nusu hapo tayari wamekwepana na wafanyabiashara. Mi nilidhani wameagiza ndege baada ya kuangalia mazingira ya sasa ya soko ambayo watu wamekuwa wajanja wanataka kusafiri kwa muda mfupi. Lets wait and see
Muda mfupi wa aina gani? Basi watumie ungo... Watu mpo kupinga tuu kila Jambo mkoje?
 
Kwani fastjet nayo inabeba abiria kiduchu kama hizi pangaboi za Magu!? Tusifananishe lita za mafuta tu bali hata uwezo wa kubeba mizigo na abiria. Tusifananishe vitz na coster bus
inajaza?
hata kama inajaza nenda usome hesabu ya Linear Programming utapata majibu
 
Madness, hesabu za kitoto hizo; Chukulia fastjet ichukue abiria 100 kwenda Mwanza, ingawaje ina uwezo wa kubeba abiria 140 na kila abiria alipe 150,000/= one way;
Na Bombardier ibebe abiria 70 ingawaje ina uwezo wa kubeba 78. Chukulia Jet A1 inauzwa lita Shilingi 1000. Assumption kwamba gharama nyingine zinakuwa sawa kwa ndege zote mbili.
Tufanye hesabu:
Nauli watakayopata fast jet one way ni shilling 15,000,000/=. toa mafuta 3,700,000/= na fixed cost 3,000,000/= faida inayobaki ni shilling 8,300,000;

Bombardier
Nauli wakayopata 10,500,000/= toa mafuta 1,700,000/= toa fixed cost 3,000,000/= inabaki 5,300,000/= hapa kinacho count ni economies of scale.
I stand to be corrected.
umekurupuka boss. Fastjet zmewachosha hizo wanaziuza wanunue ndogo. Operation cost c mafuta tuu
 
WaTanzania tusiwe mabingwa wa kulaumu tu.narudia tusubiri kuanzia 2019 ndo tuta judge.Kaahidi ndege mbili kwanza,moja next na kwenye 2020 ndege sita,reli,meli nk progress ipo ktk sekta na hapa tusiangalie mengine
 
Fuatilia (LIVE TBC1) Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akitoa ufafanuzi kuhusu Ndege mpya na Ujenzi wa Reli ya Dar-Mwanza.

View attachment 389944
==========

<UPDATES>

Kitwanga ajibiwa kununua kwa keshi hulipii riba pia unapata ubavu wa kujadili kupunguza bei

Zinatua viwanja vyoteee fast jet ili itue inabidi uwanja kuanzia km 2.8

Hizi zetu zinatua km 1.2

Hivyo zinaweza kutuaaa viwanja vyetu vyote tz

FastJet hawezi

Ulaji wake mafuta ni tan moja nusu kwenda na kurudi mwanza fast jeti inatumia tani tatu na nusu

Hivyo hata nauli zetu zitakua chini watanzania jiandaeni kupaaaa juuu

Dar mwanza hiz q100 zitatumia SAA moja na nusu

Tutajenga leli ndani ya miaka mitatu mwanza dar

Reli hi yo itatumia masaa kumi na mbili dar mwanza

Itakua na uwezo wa kubeba tanu elf tatu kwa tripu moja tafsiri jepesi safari moja ya treni itaua malori mia tatu

Name abilia 1500 kwa tripu moja

Lengo ni kupunguza malori ya mizigo barabarani kulinda Barbara zetu

Good achievement kwa kweli ila Mkumbuke na intercity train ili kupunguza foleni barabarani.
 
Kitwanga labda ashauri jinsi ya kukata kiroba au kufungua kimorali vizuri ndio ataeleweka.
 
Okay, hapo kwenye kula mafuta alipolinganisha na Fastjet, huyu Waziri ni mpotoshaji.

Waziri ame compare hivi vi dege against ndege gani za fast jet? Fleet ya Fast jet ina ndege nne, zote nne ni Airbus 319, moja inabeba watu 156, tatu zinabeba watu 145. More than twice the size ya vi dege vya Kagame. Fastjet haina vi dege vya watu 70. Chanzo hiki hapa.

Kwa hiyo huwezi ku compare ulaji wa mafuta wa Fastjest na hivi vi dege vya Kagame, huyu Mbarawa si ni Engineer huyu, au?

Toyota DCM inakula diesel kuliko Toyota Hiace. Kwa nini basi wafanyabiashara wote wa daladala wasi invest kwenye vi Hiace? Kwa sababu DCM lina faida zaidi japo linakula mafuta zaidi kuliko kipanya, na ndio maana vipanya vilipigwa marufuku sehemu kibao.
kama theory zako ni sahihi mbona hao fastjet wameamua kuuza ndege zao?
 
Safi waziri kasafisha yote mabaya yaliyosemwa na wahuni kuhusu ndege,na malori 300 kutoka barabarani tutapumua kidogo.
 
Serikali ipi duniani ina cash iliyo idle!!;/

Pili hata kama ingetumika njia nyingine isiyo ya taslim,hizo hela still zisingeweza kutumika kwenye maji,umeme nk!

Penye pongezi tutoe pongezi jameni khaaa€€*+&+
Watu hawa wakiitwa Vila.za wanalalamika..hehe
 
Back
Top Bottom