Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,118
- 732
Waiboreshe na reli ya mbeya-dar
Oooh, government business Cool.
Kipi bora ununue chanzo cha mapato ambacho mapato yake yata saidia kumaliza kero hizo au utumie pesa hizo kumaliza kero hizo ukiwa huna chanzo endelevu kuweza kucover hayo matumizi?mimi naona hapa mh. Rais yupo sawa kabisa tena nampengeza kabisaHahaha... Haya bhana.... Ndege safi..dah
Unaposema kwa Cash haulip interest, ujue una Cash ambayo ni idle(haizalishi/huihitaji)
Wakat huo kuna issue za maji, umeme, ajira, kilimo nk....
Ngoja ninyamaze, kuna kitu kinaitwa "uchochezi" nowadays...
Kama fuel cost ni half, tunategemea na nauli iwe pungufu sana ya fastjet maana ametumia muda mwingi kuzilinganisha. Short of tht bado ATCL itakufa tu.Kwa hio Nauli itakuwa chini zaidi ya fast jet? Ndio anachomaanisha wazirinwa Magufuli mzee wa matamko
Katika haya ambayo yanatekelezwa na mh.rais na serikali yake atakaye endelea kupinga akapimwe utashi wake.Hapa kanipa Raha sana
umeambiwa kulikuwa na option ya mkopo......chanzo cha mapato kipi?Kipi bora ununue chanzo cha mapato ambacho mapato yake yata saidia kumaliza kero hizo au utumie pesa hizo kumaliza kero hizo ukiwa huna chanzo endelevu kuweza kucover hayo matumizi?mimi naona hapa mh. Rais yupo sawa kabisa tena nampengeza kabisa
Mbona hapo hakuna ambacho serikali inhe save kama wangechukua mkopo?? Sasa angalia difference iliopo ukichua by cash na mkopo . naunga mkono serikali kufanya maamuzi ya kulipa cash coz gharama zimepunguaumeambiwa kulikuwa na option ya mkopo......chanzo cha mapato kipi?
Majibu ya waziri nayako sawasawa nilijua labda ndio wewe waziri, kumbe jf inamanufaa sana.Nimekuja mkuu MOTOCHINI !nimemsikiliza Waziri,katoa majibu na maelezo mujarabu sana
Bila shaka waziri hupita hapa Jf na kusoma michango yetu.Maana kapita mule mule
Reli mpya ianze na watumishi wapya wote, maximalipo wapewe kazi ya kukata ticket ili ziwe za kielectronic pia ziwekwe camera za kuhesabu idadi ya abiria na mizigo. Tena tuajiri vijana watupu vile vibabu vibake kulekule kwa ya mkoloni.Fuatilia (LIVE TBC1) Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akitoa ufafanuzi kuhusu Ndege mpya na Ujenzi wa Reli ya Dar-Mwanza.
View attachment 389944
==========
<UPDATES>
Kitwanga ajibiwa kununua kwa keshi hulipii riba pia unapata ubavu wa kujadili kupunguza bei
Zinatua viwanja vyoteee fast jet ili itue inabidi uwanja kuanzia km 2.8
Hizi zetu zinatua km 1.2
Hivyo zinaweza kutuaaa viwanja vyetu vyote tz
FastJet hawezi
Ulaji wake mafuta ni tan moja nusu kwenda na kurudi mwanza fast jeti inatumia tani tatu na nusu
Hivyo hata nauli zetu zitakua chini watanzania jiandaeni kupaaaa juuu
Dar mwanza hiz q100 zitatumia SAA moja na nusu
Tutajenga leli ndani ya miaka mitatu mwanza dar
Reli hi yo itatumia masaa kumi na mbili dar mwanza
Itakua na uwezo wa kubeba tanu elf tatu kwa tripu moja tafsiri jepesi safari moja ya treni itaua malori mia tatu
Name abilia 1500 kwa tripu moja
Lengo ni kupunguza malori ya mizigo barabarani kulinda Barbara zetu
Zinakula nini mkuu? Dengu?Ndege hizo ni economic hazili mafuta
Waiboreshe na reli ya mbeya-dar
Hujui faida za critism?Kuna watu kazi yao ni kupinga kila jambo hata kama ni la maendeleo naona hasira za kutumbuliwa bado hazijaisha mnakera sana.
Ati camera za kuhesabu mizigo? Mkuu umetisha.. Upo udom nini.. Au cbe?Reli mpya ianze na watumishi wapya wote, maximalipo wapewe kazi ya kukata ticket ili ziwe za kielectronic pia ziwekwe camera za kuhesabu idadi ya abiria na mizigo. Tena tuajiri vijana watupu vile vibabu vibake kulekule kwa ya mkoloni.
Kwa kweli nimefurahi kumsikia Waziri akipita mulemule!!JF imekuwa ya manufaa sana,hakika tukiitumia vizuri inatupa nafasi ya kufikisha mawazo yetu moja kwa moja kwa viongozi wetuMajibu ya waziri nayako sawasawa nilijua labda ndio wewe waziri, kumbe jf inamanufaa sana.
Hakuna kitakachonibadilisha, sio kwamba JPM hafai, hapana. Shida yangu ni kuona CCM inapata somo (kura chache za raisi, wabunge kupungua kila uchaguzi ni somo zuri). Hii itawafanya wachape kazi, waweke viongozi wazuri, wawe checked (bunge lenye meno kweli), zisiwepo rulling cartels, nk. Mwisho wa siku faida ni kwa Mtanzania mnyonge.Utatoa tuu kura .utaelewa tu ,hadi 2020 sinawasi utabadili tu mawazo
kiporo cha ubwabwaHazili mafuta,...waziri amesema zinakula nini?
Duh basi sawa ndugu mwandishi...Sasa ni bandar huko siripot endeleeeni mi nilitaka hapa ndegeni na lelini