si kila king'aacho ni dhahabu, ni taasisi gani aliyo wahi kuiongoza kwa mafanikio kitaifa au kimataifa? ni kosa kubwa sana kutoa credit kwa mtu just kwa kuangalia CV yake tuu, CV za kubumba na zilizochakachuliwa zipo vile vile
Kwa comment hii inaonyesha humjui kabisa profesa huyu! Angalia tu tuzo zake za kitaifa na kimataifa nadhani atleast utapata mwanga wa jibu la swali lako