Waziri wa Nishati na Madini

si kila king'aacho ni dhahabu, ni taasisi gani aliyo wahi kuiongoza kwa mafanikio kitaifa au kimataifa? ni kosa kubwa sana kutoa credit kwa mtu just kwa kuangalia CV yake tuu, CV za kubumba na zilizochakachuliwa zipo vile vile

Kwa comment hii inaonyesha humjui kabisa profesa huyu! Angalia tu tuzo zake za kitaifa na kimataifa nadhani atleast utapata mwanga wa jibu la swali lako
 
Prof. Muhongo ni katika baadhi ya watanzania wachache ambao wanaCV kubwa sana kimataifa na ni mtu wa msimamo sana. Ukichukulia kuwa ni mwanazuoni aliye bobea katika fani ya Geolojia kwa kweli nimempa big up Mkuu wa Kaya kuona kuwa awe ktk timu ya wasaidizi wake. My caution ni kwamba system imeharibika sina hakika kama mkuu wa kaya ana nia nzuri ya kumtumia vizuri huyu mtu asije akachafuka kama ambavyo tumeshuhudia walivyochafuka wengine tuliowategemea kubadilisha hii system.

Hongera Prof. Muhongo tunaomba utusafishie uozo Wizara ya Nishati na Madini

Huyu nae atakuwa kama Benno ndulu gavana wa benki kuu ambae alijengewa nyumba na swimming pool ya bilioni moja na watu walisema ana cv ya kimataifa lakini yumeona hayo madudu chini ya utawala wake.
Balali nae alitolewa hukohuko usa na cv kubwa mwisho akatu-EPA na kusepa
 
Huyu nae atakuwa kama Benno ndulu gavana wa benki kuu ambae alijengewa nyumba na swimming pool ya bilioni moja na watu walisema ana cv ya kimataifa lakini yumeona hayo madudu chini ya utawala wake.
Balali nae alitolewa hukohuko usa na cv kubwa mwisho akatu-EPA na kusepa

Hii inaonyesha dhahiri kuwa tatizo linaweza kuwa sio kiongozi mmoja mmoja bali system nzima.

Hivyo basi, ila mambo yaende kama tunavyotegemea, ni vizuri kuioverhaul system nzima. Mafisadi dagaa pia washughulikiwe kwani hawa po wengi na wanakula pesa zetu zaidi ya viwavi washambuliavyo mashamba.
 
Hii inaonyesha dhahiri kuwa tatizo linaweza kuwa sio kiongozi mmoja mmoja bali system nzima.

Hivyo basi, ila mambo yaende kama tunavyotegemea, ni vizuri kuioverhaul system nzima. Mafisadi dagaa pia washughulikiwe kwani hawa po wengi na wanakula pesa zetu zaidi ya viwavi washambuliavyo mashamba.
Hilo ndio suala la msingi kwa nchi hii na watu wake tuelewe hilo,kwani kwa sasa system ndio hiyo unaiona imejaa kulindana mfano tulitakiwa tuambiwe na rais ni hatua gani inafuatia baada ya kuwafukuza hawa mawaziri kama watafikishwa mahakamani au la!
Halafu tunaambiwa mkuchika amehamishwa Tamisemi wakati madudu yake huko ndo balaa la kupukutisha fedha za mlipa kodi kila siku,je alistahili kuwa kwenye baraza tena
 
Kwani performance ya Professor Kapuya ilikuwaje katika wizara zote alizoongoza mpaka mwisho akaingia kwenye dili ya kufisadi UDA???
 
"Education purpose is to replace an empty mind with an open one" mkuu tutambue kuwa kila wizara ni muhimu katika mustakabali wa maendeleo ya Taifa letu ila ni ukweli ulio wazi kuwa wizara zinatofautiana kwa umuhimu wake. Wizara ya fedha ndo roho katika harakati zote za kupigania maendeleo kwani ndiyo inayo husika na allocations za fedha katika serikali yoyote duniani.Sina tatizo na uteuzi wa wateule wa mkuu wa KAYA lakini kuna umuhimu wa kutambua kitu kimoja nacho ni uteuzi wa Bi. Saada Mkuya Salum aliyeteuliwa na Rais kuwa mbunge masaa machache kabla ya kuteuliwa tena kuwa Naibu Waziri wa Fedha. Inaonyesha ni jinsi gani tunavyo ichukulia wizara hii (VODA FASTA) na kwa hili naomba niwasilishe hoja kuwa mkuu hukufanya maamuzi sahii kulingana na wakati na alivyo uchukulia uteuzi huu. PLEASE LETS BE SERIOUS KAMA TUNATAKA KULIKOMBOA TAIFA HILI KUTOKA KWENYE MKWAMO HUU WA KIUCHUMI NA UFINYU WA MAONO.Alitakiwa kuwa na maono ya mbele zaidi ya kauli mbiu(Ari zaidi, Kasi zaidi, Nguvu zaidi) na mambo ya usawa wa jinsia
 
Without saying much, please refer the difference between Intelligence quotient (IQ) and Emotional Intelligence (EI), they said at home call it Kuerevuka KIAKILI Vs kueleimika KIUTU! You can have akili mingi sana the IQ thing ....lakni .... Unarudi nyumbani wa kwanza, unakula chakula cha watoto unalala wa kwanza ... Doest it disqualify your IQ and its CV? But where is your UTU!!

In a big picture? Chakula cha watoto inaweza kumaanisha Mirahaba ya Mali ya asili Ya TAIFA!! doest it disqualify your IQ No but, huoni hapo ni UTU katika uongozi wako is Kaputi!!

ON A Serious NOTE ... Watch out, Never ever mix up the two!!!
 
He has good cv, mimi nafikiri watanzania tumuombee afanye kazi maana ni kwa maslahi yetu wote.



Huyu prof Presentation zake juu ya sayansi technologia na innovation zimekuwa zikinikoga sana, na ana ideas nyingi mno juu ya nishati, Lakini BUDGET INATAKIWA NA NI KUBWA cha maana wazungu wataipata maana hatawakubalia kirahisi, migodi mipya itabidi itoe pato kubwa na akubaliwe kuwekeza katika nishati. Pia atumie kuombwa ushauri katika sayansi na technologia. Anyway imeprove tena kuwa ukiwa msomi uaweza kuchaguliwa kutokana na usomi wako wa kimataifa NA SI KUJIPENDEKEZA NA KUDHALILISHA TAALUMA KAMA DR BANA, HIVI JK ALIMSAHAU DR BANA NINADHANI ALIPASWA KUMUAZNSHI WIZARA YA PROPAGANDA ILI AMUTOE UDSM.
 
No way out. Hatuwezi kutegemea mtu mmoja kama huyo Muhongo kuleta mabadiriko.We can not make changes if we are not for changes.
 
Prof Sospeter Muhongo, a Tanzanian, Officier, Ordre des Palmes Académiques, is a Full
Professor of Geology at the University of Dar Es Salaam, Tanzania and an Honorary Professor of
Geology at the University of Pretoria, South Africa. He is an Honorary Fellow of the Geological
Society of London (HonFGS), an Honorary Research Fellow of the Chinese Academy of Geological
Sciences (HonFCAGS), a Fellow of the Academy of Sciences for the Developing World (FTWAS), a
Fellow of the Geological Society of Africa (FGSAf) and a Fellow of the African Academy of Sciences
(FAAS). He is a fellow of eight highly learned professional societies. He is the first recipient (2004)
of the Prof Robert Shackleton (UK) Award for Outstanding Research on the Precambrian Geology
of Africa. He is the Vice President of the Commission of the Geological Map of the World (CGMW).
Prof Muhongo was the Chair of the Jury for the African Union (AU) Kwame Nkrumah Scientific
Awards – Continental Awards for Outstanding Scientists 2011 Edition. He is a member of the Executive Board of the
African Inter-Parliamentary Forum on Science, Technology and Innovation (AIPF-STI).
He is effectively involved in various high-level regional (Africa) and global science, technology and innovation strategic
policy processes (e.g. Africa-Europe STI partnership). He is a Member of the International Experts Group (Global Science
Forum) of OECD and has occupied numerous important national, regional and international professional positions dealing
with STI, earth resources, science policy and science diplomacy. Prof Muhongo was nominated by his country to be a
candidate (2009) for the post of the Director General of UNESCO.
He is Editor-in-Chief of the Journal of African Earth Sciences (Elsevier), Associate Editor of Precambrian Research (Elsevier)
and a member of several editorial boards of science journals and bulletins. Prof Muhongo is the Senior Editor of the
published book (2009) on, “Science, Technology and Innovation for Socio-Economic Development: Success Stories from
Africa.”
Prof Muhongo was the President of the Geological Society of Africa (1995-2001). He was the founding Regional Director
(2005-2010) of the ICSU Regional Office for Africa, Pretoria, South Africa. He was the Chairperson of the UNESCO-IUGSIGCP
Scientific Board of International Geoscience Programme (2004-2008), and the Chair (2007-2010) of Science
Programme Committee (SPC) of the UN-proclaimed International Year of Planet Earth (IYPE). He is a Chartered Geologist
and an active member of numerous professional societies including, the Geological Society of America, the Geological
Society of London, the Royal Commonwealth Society, Geologische Vereinigung (Germany), Geological Society of Africa,
Geological Society of South Africa and the Tanzania Geological Society.
He was the Chairman (1999-2005) of the Board of Directors of the State Mining Corporation (STAMICO), Tanzania;
and was the Head (1997-2000) of the Department of Geology, University of Dar Es Salaam, Tanzania. Prof Muhongo was
the Chairman (2002) of the Tanzania Government's Commission of Inquiry on the deadliest Merelani tanzanite mine's
accident.
Prof Muhongo is intensively mentoring young scientists, engineers and technologists around the world. He is the Patron of the
University of Dar Es Salaam Geological Association of Students (UDGAS), a Patron of the National Young Earth Scientists
Network (YES, Tanzania) and is an Advisor to the Global Young Earth Scientists Network (YES, Global).
Prof Muhongo has published over 200 well acknowledged research articles, geological and mineral maps. He has delivered
more than 300 invited keynote speeches around the world at international conferences. He has undertaken over 100
contracted scientific research projects, and consultancy services in the mineral industry, environmental issues and STI
policy matters. Prof Muhongo has been on many STI review/evaluation panels and advisory boards for both national and
international institutions and organizations. He has been an External Examiner/Referee for numerous universities, i.e.
examinations moderator and academic staff referee/evaluator (e.g. candidates for professorship positions). Over the past
two decades, Prof. Muhongo has co-organized over 100 expert group meetings and international earth sciences, STI and
science policy conferences, including those on “Science with Africa (Rapporteur-General)” which are hosted by the United
Nations Economic Commission for Africa (UNECA), the African Union Commission (AUC) and their partners.
He has developed a special interest in the application of STI for sustainable growth and socio-economic development of the
global society. Prof Muhongo who is a recipient of numerous scholarly and professional awards, recognitions, grants, and
fellowships studied geology at the Universities of Dar Es Salaam (Tanzania) and Gӧttingen (Germany). He graduated with
Dr.rer.nat. degree from the Technical University of Berlin, Germany. Prof Muhongo is fluent in Kiswahili, English, German
and French (basic). E-mail: s.muhongo@bol.co.tz / profmuhongo.sospeter@gmail.com
Prof Dr Sospeter MUHONGO (Officier, Ordre des Palmes Académiques)
FGSAf, FAAS, FASI, FASSAf, FGIGE, FTWAS, HonFCAGS, HonFGS, CGeol, EurGeol
24 April 2012

Kaka Siasa haina BA, MA wala PHD usimwogope mtu kwa ajili ya qualifications zake... Je, atweza kufanya kazi ndani ya Chama ambacho rushwa ni ORDER OF THE DAY na Serikali ambayo ipo corrupt na demarcation lines za Mihilili mitatu ya dola ni compromized? Lets wait and see... Magembe ana PHD, Kawambwa ana PHD, Mbarawa ana PHD wamefanya nini hata kuacha LEGACY... afadhali hata ya Kanumba aliigusa mioyo ya watu ... kama una bisha angalia NYOMI ya watu katika MSIBA wake!!
 
An academician turned politician...

Tusitegemee chochote toka kwa huyu mwanataaluma katka siasa za mikiki mikiki za kibongo!!

Wait and see!!
 
Huyu prof Presentation zake juu ya sayansi technologia na innovation zimekuwa zikinikoga sana, na ana ideas nyingi mno juu ya nishati, Lakini BUDGET INATAKIWA NA NI KUBWA cha maana wazungu wataipata maana hatawakubalia kirahisi, migodi mipya itabidi itoe pato kubwa na akubaliwe kuwekeza katika nishati. Pia atumie kuombwa ushauri katika sayansi na technologia. Anyway imeprove tena kuwa ukiwa msomi uaweza kuchaguliwa kutokana na usomi wako wa kimataifa NA SI KUJIPENDEKEZA NA KUDHALILISHA TAALUMA KAMA DR BANA, HIVI JK ALIMSAHAU DR BANA NINADHANI ALIPASWA KUMUAZNSHI WIZARA YA PROPAGANDA ILI AMUTOE UDSM.

Mkuu ni kweli jamaa ni kichwa kizuri sana. Nimewahi kuhudhuria presentation yake kwenye mkutano mmoja it was supa. Kinachotakiwa ni kwamba aachwe afanyekazi zake kwa uhuru na awe ngangari kama alivyo Magufuli bila kuangalia sura ya mtu. Tatizo huwa ni pale rais anapokuwa mwizi kwa kuwatumia mawaziri wake. Nakumbuka imewahi kuripotiwa kuwa JK ni rafiki wa karibu sana na jamaa moja aitwaye "Sinclair" ambaye ni fisadi mkuu wa madini yetu. Huyu jama aliipata ile ripoti ya kamati ya madini hata kabla haijafika Bungeni na tuliona mapendekezo ya kamati hiyo hayakufanyiwa kazi. Kumbuka pia Kikwete aipoingia madarakani alitamka kuwa hatutasaini tena mkataba wa kinyonyaji wa kuchimba madini, lakini haukupita muda mrefu Karamagi akaenda kusaini mkataba "gizani" wa Buzwagi huko London na hakufanywa kitu. Hii inaonyesha kuwa huenda Kikwete anahusika kufisadi madini yetu. Kikwete pia amewahi kutamka kuwa hamfahamu mmiliki wa DOWANS kitu ambacho si kweli na hii pia inaonyesha kuwa kwenye nishati huenda nako pia ana sehemu katika ufidasi huo. Kwahiyo Huyu Prof. ana kazi kubwa mbele yake.
 
Prof. Muhongo ni katika baadhi ya watanzania wachache ambao wanaCV kubwa sana kimataifa na ni mtu wa msimamo sana. Ukichukulia kuwa ni mwanazuoni aliye bobea katika fani ya Geolojia kwa kweli nimempa big up Mkuu wa Kaya kuona kuwa awe ktk timu ya wasaidizi wake. My caution ni kwamba system imeharibika sina hakika kama mkuu wa kaya ana nia nzuri ya kumtumia vizuri huyu mtu asije akachafuka kama ambavyo tumeshuhudia walivyochafuka wengine tuliowategemea kubadilisha hii system.


Hongera Prof. Muhongo tunaomba utusafishie uozo Wizara ya Nishati na Madini
Hata Waingereza walikuwa na matumaini kama hawa kwa Godorn Brown ,maana jamaa alikuwa kichwa kwny mambo ya uchumi na alifanya vema wizara ya fedha, lakini alipokuwa PM mambo hayakwenda kama walivyotarajia so tumpe muda tuone
 
Back
Top Bottom