Waziri wa Nishati na Madini

Wadau mnauongeleaje uteuzi wa mwanazuoni Profesa Sospeter Mulongo wa Chuo Kikuu cha Dar ea Salaam. Ni man of honour, mwanataaluma, mtaalamu na amebobea katika fani ya jiolojia ukiachilia mbali wasifu wake mrefu na uzoefu katika uongozi wa idara za kimataifa. Je ataonesha uzalendo na kuchapa kazi huku akiwa miongoni mwa watu wasio waadilifu? Itakuaje kama akipoa na kujichafulia jina alilolitengeneza kwa heshma kubwa duniani?
there is nothing better than money! kama waliomtangulia wameiba na hawakushitakiwa , basi huo ni motisha tosha wa sospeter kuwa super dishonest minister. Hapo wizarani hata ukimweka bishop wa kanisa lolote awe minister hata acha kuwa mwizi. maana hufuatwa na offer ya kusomesha mtoto Losa Angels au Atlanta. nani aikatae, hata mimi mwenyewe siatikataa kama unaiba halafu hushitakiwi kama ilivyo kwa mawaziri waliotangulia.
 
Ukikubali kucheza mpira kwenye tope, ukubali kuchafuka au kuchafuliwa. Na kwa wizari hiyo aliyopewa, ajitayarishe kwa lolote.
 
Prof Sospeter Muhongo, a Tanzanian, Officier, Ordre des Palmes Académiques, is a Full
Professor of Geology at the University of Dar Es Salaam, Tanzania and an Honorary Professor of
Geology at the University of Pretoria, South Africa. He is an Honorary Fellow of the Geological
Society of London (HonFGS), an Honorary Research Fellow of the Chinese Academy of Geological
Sciences (HonFCAGS), a Fellow of the Academy of Sciences for the Developing World (FTWAS), a
Fellow of the Geological Society of Africa (FGSAf) and a Fellow of the African Academy of Sciences
(FAAS). He is a fellow of eight highly learned professional societies. He is the first recipient (2004)
of the Prof Robert Shackleton (UK) Award for Outstanding Research on the Precambrian Geology
of Africa. He is the Vice President of the Commission of the Geological Map of the World (CGMW).
Prof Muhongo was the Chair of the Jury for the African Union (AU) Kwame Nkrumah Scientific
Awards – Continental Awards for Outstanding Scientists 2011 Edition. He is a member of the Executive Board of the
African Inter-Parliamentary Forum on Science, Technology and Innovation (AIPF-STI).
He is effectively involved in various high-level regional (Africa) and global science, technology and innovation strategic
policy processes (e.g. Africa-Europe STI partnership). He is a Member of the International Experts Group (Global Science
Forum) of OECD and has occupied numerous important national, regional and international professional positions dealing
with STI, earth resources, science policy and science diplomacy. Prof Muhongo was nominated by his country to be a
candidate (2009) for the post of the Director General of UNESCO.
He is Editor-in-Chief of the Journal of African Earth Sciences (Elsevier), Associate Editor of Precambrian Research (Elsevier)
and a member of several editorial boards of science journals and bulletins. Prof Muhongo is the Senior Editor of the
published book (2009) on, "Science, Technology and Innovation for Socio-Economic Development: Success Stories from
Africa."
Prof Muhongo was the President of the Geological Society of Africa (1995-2001). He was the founding Regional Director
(2005-2010) of the ICSU Regional Office for Africa, Pretoria, South Africa. He was the Chairperson of the UNESCO-IUGSIGCP
Scientific Board of International Geoscience Programme (2004-2008), and the Chair (2007-2010) of Science
Programme Committee (SPC) of the UN-proclaimed International Year of Planet Earth (IYPE). He is a Chartered Geologist
and an active member of numerous professional societies including, the Geological Society of America, the Geological
Society of London, the Royal Commonwealth Society, Geologische Vereinigung (Germany), Geological Society of Africa,
Geological Society of South Africa and the Tanzania Geological Society.
He was the Chairman (1999-2005) of the Board of Directors of the State Mining Corporation (STAMICO), Tanzania;
and was the Head (1997-2000) of the Department of Geology, University of Dar Es Salaam, Tanzania. Prof Muhongo was
the Chairman (2002) of the Tanzania Government's Commission of Inquiry on the deadliest Merelani tanzanite mine's
accident.
Prof Muhongo is intensively mentoring young scientists, engineers and technologists around the world. He is the Patron of the
University of Dar Es Salaam Geological Association of Students (UDGAS), a Patron of the National Young Earth Scientists
Network (YES, Tanzania) and is an Advisor to the Global Young Earth Scientists Network (YES, Global).
Prof Muhongo has published over 200 well acknowledged research articles, geological and mineral maps. He has delivered
more than 300 invited keynote speeches around the world at international conferences. He has undertaken over 100
contracted scientific research projects, and consultancy services in the mineral industry, environmental issues and STI
policy matters. Prof Muhongo has been on many STI review/evaluation panels and advisory boards for both national and
international institutions and organizations. He has been an External Examiner/Referee for numerous universities, i.e.
examinations moderator and academic staff referee/evaluator (e.g. candidates for professorship positions). Over the past
two decades, Prof. Muhongo has co-organized over 100 expert group meetings and international earth sciences, STI and
science policy conferences, including those on "Science with Africa (Rapporteur-General)" which are hosted by the United
Nations Economic Commission for Africa (UNECA), the African Union Commission (AUC) and their partners.
He has developed a special interest in the application of STI for sustainable growth and socio-economic development of the
global society. Prof Muhongo who is a recipient of numerous scholarly and professional awards, recognitions, grants, and
fellowships studied geology at the Universities of Dar Es Salaam (Tanzania) and Gӧttingen (Germany). He graduated with
Dr.rer.nat. degree from the Technical University of Berlin, Germany. Prof Muhongo is fluent in Kiswahili, English, German
and French (basic). E-mail: s.muhongo@bol.co.tz / profmuhongo.sospeter@gmail.com
Prof Dr Sospeter MUHONGO (Officier, Ordre des Palmes Académiques)
FGSAf, FAAS, FASI, FASSAf, FGIGE, FTWAS, HonFCAGS, HonFGS, CGeol, EurGeol
24 April 2012
 
Prof Sospeter Muhongo, a Tanzanian, Officier, Ordre des Palmes Académiques, is a Full
Professor of Geology at the University of Dar Es Salaam, Tanzania and an Honorary Professor of
Geology at the University of Pretoria, South Africa. He is an Honorary Fellow of the Geological
Society of London (HonFGS), an Honorary Research Fellow of the Chinese Academy of Geological
Sciences (HonFCAGS), a Fellow of the Academy of Sciences for the Developing World (FTWAS), a
Fellow of the Geological Society of Africa (FGSAf) and a Fellow of the African Academy of Sciences
(FAAS). He is a fellow of eight highly learned professional societies. He is the first recipient (2004)
of the Prof Robert Shackleton (UK) Award for Outstanding Research on the Precambrian Geology
of Africa. He is the Vice President of the Commission of the Geological Map of the World (CGMW).
Prof Muhongo was the Chair of the Jury for the African Union (AU) Kwame Nkrumah Scientific
Awards – Continental Awards for Outstanding Scientists 2011 Edition. He is a member of the Executive Board of the
African Inter-Parliamentary Forum on Science, Technology and Innovation (AIPF-STI).
He is effectively involved in various high-level regional (Africa) and global science, technology and innovation strategic
policy processes (e.g. Africa-Europe STI partnership). He is a Member of the International Experts Group (Global Science
Forum) of OECD and has occupied numerous important national, regional and international professional positions dealing
with STI, earth resources, science policy and science diplomacy. Prof Muhongo was nominated by his country to be a
candidate (2009) for the post of the Director General of UNESCO.
He is Editor-in-Chief of the Journal of African Earth Sciences (Elsevier), Associate Editor of Precambrian Research (Elsevier)
and a member of several editorial boards of science journals and bulletins. Prof Muhongo is the Senior Editor of the
published book (2009) on, “Science, Technology and Innovation for Socio-Economic Development: Success Stories from
Africa.”
Prof Muhongo was the President of the Geological Society of Africa (1995-2001). He was the founding Regional Director
(2005-2010) of the ICSU Regional Office for Africa, Pretoria, South Africa. He was the Chairperson of the UNESCO-IUGSIGCP
Scientific Board of International Geoscience Programme (2004-2008), and the Chair (2007-2010) of Science
Programme Committee (SPC) of the UN-proclaimed International Year of Planet Earth (IYPE). He is a Chartered Geologist
and an active member of numerous professional societies including, the Geological Society of America, the Geological
Society of London, the Royal Commonwealth Society, Geologische Vereinigung (Germany), Geological Society of Africa,
Geological Society of South Africa and the Tanzania Geological Society.
He was the Chairman (1999-2005) of the Board of Directors of the State Mining Corporation (STAMICO), Tanzania;
and was the Head (1997-2000) of the Department of Geology, University of Dar Es Salaam, Tanzania. Prof Muhongo was
the Chairman (2002) of the Tanzania Government's Commission of Inquiry on the deadliest Merelani tanzanite mine's
accident.
Prof Muhongo is intensively mentoring young scientists, engineers and technologists around the world. He is the Patron of the
University of Dar Es Salaam Geological Association of Students (UDGAS), a Patron of the National Young Earth Scientists
Network (YES, Tanzania) and is an Advisor to the Global Young Earth Scientists Network (YES, Global).
Prof Muhongo has published over 200 well acknowledged research articles, geological and mineral maps. He has delivered
more than 300 invited keynote speeches around the world at international conferences. He has undertaken over 100
contracted scientific research projects, and consultancy services in the mineral industry, environmental issues and STI
policy matters. Prof Muhongo has been on many STI review/evaluation panels and advisory boards for both national and
international institutions and organizations. He has been an External Examiner/Referee for numerous universities, i.e.
examinations moderator and academic staff referee/evaluator (e.g. candidates for professorship positions). Over the past
two decades, Prof. Muhongo has co-organized over 100 expert group meetings and international earth sciences, STI and
science policy conferences, including those on “Science with Africa (Rapporteur-General)” which are hosted by the United
Nations Economic Commission for Africa (UNECA), the African Union Commission (AUC) and their partners.
He has developed a special interest in the application of STI for sustainable growth and socio-economic development of the
global society. Prof Muhongo who is a recipient of numerous scholarly and professional awards, recognitions, grants, and
fellowships studied geology at the Universities of Dar Es Salaam (Tanzania) and Gӧttingen (Germany). He graduated with
Dr.rer.nat. degree from the Technical University of Berlin, Germany. Prof Muhongo is fluent in Kiswahili, English, German
and French (basic). E-mail: s.muhongo@bol.co.tz / profmuhongo.sospeter@gmail.com
Prof Dr Sospeter MUHONGO (Officier, Ordre des Palmes Académiques)
FGSAf, FAAS, FASI, FASSAf, FGIGE, FTWAS, HonFCAGS, HonFGS, CGeol, EurGeol
24 April 2012
 
Wadau mnauongeleaje uteuzi wa mwanazuoni Profesa Sospeter Mulongo wa Chuo Kikuu cha Dar ea Salaam. Ni man of honour, mwanataaluma, mtaalamu na amebobea katika fani ya jiolojia ukiachilia mbali wasifu wake mrefu na uzoefu katika uongozi wa idara za kimataifa. Je ataonesha uzalendo na kuchapa kazi huku akiwa miongoni mwa watu wasio waadilifu? Itakuaje kama akipoa na kujichafulia jina alilolitengeneza kwa heshma kubwa duniani?

Teteteteteeeeeeeee! Unanikumbusha ya 'Marehemu' Daud Balali aiseeee. He came with alot of international credentials but i guess you know what he did to this country!
 
Kabla ya Kikwete, Mkapa alishamwomba amteue kuwa mbunge na kisha kumpa uwaziri, lakini alipinga na kuendelea na taaluma yake South Africa

Ni mtu wa Misimamo, lakini kuna kila dalili ya kuangushwa kimaamuzi na wanasiasa hasa JK
 
Pengine ni vyema tukafahamu kuwa kuna tofauti kubwa kati ya academician and government

leader. The first one concerns the internal organization of materials with coherence intending a

person of specific level of skills and knowledge to comprehend. It includes intensive studies and

research which in large extend depends on the motive behind the person leading the crew. its

easier to lead even a hundred professional bodies so long as all are having common interest and

understanding.Being a government leader however is different! First its politically oriented

meaning that sometimes you may be demanded to depart from your profession and stand on

political side! Furthermore it includes working in an already established system (eg Makatibu

wakuu, wakurugenzi, mameneja nk) of which they have a lot on general performance of the

minister. Organization of available resources and effective utilization of present manpower are

also essential for success of any minister!

You will therefore realize Prof Muhogo's Cv may not be a determinant factor in his performance

although it may help him should he choose to use it!
 
Pengine ni vyema tukafahamu kuwa kuna tofauti kubwa kati ya academician and government

leader. The first one concerns the internal organization of materials with coherence intending a

person of specific level of skills and knowledge to comprehend. It includes intensive studies and

research which in large extend depends on the motive behind the person leading the crew. its

easier to lead even a hundred professional bodies so long as all are having common interest and

understanding.Being a government leader however is different! First its politically oriented

meaning that sometimes you may be demanded to depart from your profession and stand on

political side! Furthermore it includes working in an already established system (eg Makatibu

wakuu, wakurugenzi, mameneja nk) of which they have a lot on general performance of the

minister. Organization of available resources and effective utilization of present manpower are

also essential for success of any minister!

You will therefore realize Prof Muhogo's Cv may not be a determinant factor in his performance

although it may help him should he choose to use it!

Mkuu umemaliza kila kitu. Nakumbuka kuna jamaa alitoka kwa NGO moja akaja government office akiamini pesa inaweza kutoka within half an hour baada ya kuiomba. Alichokutana nacho hakuamini na alikaa miezi 6 tu akaacha kazi. Alikuwa haelewi iweje hata sh 50,000 unapoiomba ili ukafanye kazi fulani inachukua zaidi ya wiki mbili kuipata ili hali yeye alizoea ndani ya nusu saa tu umeipata na unaenda kupiga kazi fasta.
 
Kuingia kwa Prof. Mulongo ni faraja kubwa kwa watanzania walio wengi na waliofatilia historia yake katika utendaji wa kimataifa. Bila shaka wengi tuna faraja kwa sababu tuna matarajio makubwa kuwa ataweza kusimamia vizuri sera za nishati na madini na pia utendaji katika wizara hiyo ambayo mara zote imekua ikisumbuliwa na siasa.

Tumpe muda Prof. Mulongo ili aweze kutenda kazi yake kwa maana anaingia kama mtendaji na sio mwanasiasa. Changamoto alizonazo ni pamoja na kugeuza taaluma yake (usomi wake) katika madini na kuwa utendaji ili kuwaletea watanzania maendeleo katika sekta hiyo. Changamoto ya pili ni kuitumikia nafasi hiyo kiutendaji na sio kisiasa, hii ni kwa sababu tumeshuhudia watendaji wengi wazuri wakiingia katika nafasi za kisiasa kama hizo kumezwa na siasa na kuachana na utaalamu wao. NI MATUMAINI YANGU KUWA PROF. MULONGO HATAMEZWA NA SIASA ZA BONGO NA ATATUMIA UTAALAMU WAKE KATIKA MADINI KUWANUFAISHA WATANZANIA WOTE
 
Ninamhurumia sana huyu Pr. Mulongo! Anakazi kubwa sana ya ku transform hali ya Wizara hii nyeti yeye pamoja na wasaidizi wake, unless atafuata njia ya akina Msabaha, Karamagi na sharobaro (Mr. Meggawat) W. Ngeleja.

Nashauri kabla hajaanza kazi rasmi, ashauriane na wahusika waiogvrhaul hiyo wizara, watu wahamishwe, wastaafishwe, watimuliwe kazi, washtakiwe kama itakavyopasa. Wizara ianze na watu wapya.
 
Ukiishi na wezi sio lazima na wewe uwe mwizi.
Ni maamuzi yako ndo yatakufanya either you join them or do away with them
Akili kumkichwa
 
Namsikitikia huyu professor, kwa hali halisi ya mfumo wa nchi yetu ulivyo atakuja kuishia kama Dr. Bilal. Nakushauri profeesor rudi chuoni ukafundishe na kuendelea na research zako na maisha yako yataishia vizuril la utakuja kujuta. Sio kwamba Ngeleja alikuwa mbaya bali mfumo wa nchi ilivyo ndiyo umewafikisha hapo.. Walio chini yako siku zote ni watu wa ma deals na hata ufanyeje watakuangusha tu.
 
si kila king'aacho ni dhahabu, ni taasisi gani aliyo wahi kuiongoza kwa mafanikio kitaifa au kimataifa? ni kosa kubwa sana kutoa credit kwa mtu just kwa kuangalia CV yake tuu, CV za kubumba na zilizochakachuliwa zipo vile vile
 
Back
Top Bottom