T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Ni zaidi ya wiki sasa.mgawo wa umeme unaendelea lakini hakuna taarifa yoyote toka tanesco au mamlaka yoyote ya serikali. Hivi karibuni prof muhongo alikuja na mkwara na mbwembwe za hali ya juu na kutuaminisha kuwa sasa mgawo ni historia. Kazi imemshinda?ameshindwa kutembea kauli zake?ni jambo la dharura? Au ni tatizo lililo nje ya uwezo wake.