Hapa Waziri alikosea!
Jamani twendeni mbele turudi nyuma ... Hivi kwenye semina mwalikwa LAZIMA akae mpaka mwisho!!
Siku zote nafahamu ni heshima kusubiri Mgeni Rasmi afungue, na kusikia hotuba yake, lakini kinachoendelea baada ya hapo wewe ni mwalikwa tu kwa hiyo una uhuru wa kuondoka ama kubaki!
Waziri asitumie kigezo cha dharau, kwani hiyo dharau ya wawekezaji ni wao (watawala) wamewapa, kama anabisha akamuulize Sinclair!!
Jamani twendeni mbele turudi nyuma ... Hivi kwenye semina mwalikwa LAZIMA akae mpaka mwisho!!
Siku zote nafahamu ni heshima kusubiri Mgeni Rasmi afungue, na kusikia hotuba yake, lakini kinachoendelea baada ya hapo wewe ni mwalikwa tu kwa hiyo una uhuru wa kuondoka ama kubaki!
Waziri asitumie kigezo cha dharau, kwani hiyo dharau ya wawekezaji ni wao (watawala) wamewapa, kama anabisha akamuulize Sinclair!!