Tatizo hatutajua kitacho fanyika. Hapo ndo mwisho Wa story kakaYes ...kila mtu atimize wajibu kwa mujibu wa sheria ....leo ukicheka yanamtokea Nape jiulize wewe usiyejulikana hata nyumba ya pili watakufanya nini ....Mwigulu umefanya vyema
Tatizo hatutajua kitacho fanyika. Hapo ndo mwisho Wa story kakaYes ...kila mtu atimize wajibu kwa mujibu wa sheria ....leo ukicheka yanamtokea Nape jiulize wewe usiyejulikana hata nyumba ya pili watakufanya nini ....Mwigulu umefanya vyema
Hao waneshajipanga usidhani kuwa mwigulu hajui, na nitamshangaa Mwigulu akikaa kimyaNasikia harufu ya mtu kutumbuliwa
Katika ccm vijana hodari ninao wajua ni wewe Mwigulu, Nape, Januari, na Bashe!!! Tupo pamojaView attachment 485970
Mwigulu Nchemba(Kushoto) akizungumza na Nape Nnauye katika ukumbi wa NEC kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma 10/15/2014(Maktaba)
Mh. Nape Moses Nnauye sio jambazi, ni mtanzania, ni mbunge, mjumbe wa NEC wa CCM, hana record ya uhalifu. Kitendo cha mtu kumtolea Bastola, Sio cha kiasikari, sio cha kitanzania na sio cha ki Mungu, kama mtu ameweza kutoa Bastola mbele ya Kamera nawaza mbali ingekuwa kwenye uchochoro angefanya nini.
Nahusika na Usalama wa Raia wote wa Tanzania, nimemwelekeza IGP atumie picha kumsaka mtu yule aliyeinua kufanya kitu cha kihalifu kwa kofia ya uaskari. Na kama ni Askari basi sheria zinazoongoza taasisi husika zichukue mkondo wake.
======
View attachment 486002
Hujui Mtoto wa Baba katoa instruction,na yeye anafuata Mkondo wa Maji sasa hivi.Alichelewa kwenye Clouds,hakuwaona kama Clouds ni Watanzania??Je hakuwaona kama Lissu,Lema na wapinzani wengine wakishikiwa Bunduki na Polisi kama kumi hivi,duh,Mwigulu acha double standard anza upya
Jamani huyu Daudi bashite zero mbona amepanda watu kichwani yani amekuwa untouchable kabisa hivi wale waandishi wasingekuwepo si angeweza kuua jamani. Kweli fa fa fa ni mbaya mno
Tunaelekea kwenye korongo na baiskeli ya mitiSijui tunaelekea wapi...... sad
Nasikia harufu ya mtu kutumbuliwa
Kweli bashite naye kawa Raisi kivuli analindwa ka mboni ya jicho. Awamu twafaaa ni mwendo wa kutumia minguvu tu ukiwa mbishi unapotezwa ka Ben Saanane.Mambo.. Bashite hakamatiki, ni kama ana mamlaka kama ya Rais, ukimgusa Bashite au maslahi yake umemgusa Faru John, yaan Faru John yuko ndani ya Bashite na Bashite yu ndani yake.
Yaan ni ngumu sana kuwatenganisha hawa wasukuma wawili. Tushaambiwa tulie tugaregare hamna kitakachobadilika. Bashite hata akimuua mtu leo, kelele zitapigwa sana tu ila ataambiwa aendelee na kazi na watu wachape kazi waache kupoteza mda.
Tanzania bado sana.