Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Hawaijui TZ wale wanyasa:
Sisi tumepigana, usheli sheli mara kadhaa na tukamweka Albert Reneè
Tumepigana Angola, Namibia, Msumbiji, Zimbabwe, Comoro, Uganda tukaiteka yote na kuidhibiti, kufundisha na kuwasaidia Polisario(Sahara Magharibi) kuwafundisha na kuwasaidia 'Umkhonto we Sizwe' kuwafundisha na kuwasaidia Congo ya Kabila.
hivi wanaijua hii CV ?
bonge la cv kaka