DOKEZO Waziri wa Maji na Mkuu wa Mkoa tusaidieni Wakazi za Muriet (Arusha) turejeshewe huduma ya maji, mwezi wa pili huu tunateseka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
422
1,049
Sisi Wananchi wa Mtaa wa Agape, Kata ya Muriet Mkoani Arusha tuna changamoto ya kukosa maji kwa muda wa miezi miwili sasa.

Licha ya kufanya jitihada za kuwasiliana na mamlaka ya Maji (AUWSA) hatujapata majibu ya kueleweka, hali hiyo imekuwa ikisababisha kero kubwa kwa wakazi wengi wa Agape.

Kuna Injinia wa AUWSA ambaye tulimtafuta akasema kuwa kuna mradi unaendelea unasimamiwa na Wachina lakini hakuna maelezo ya kueleweka.

Tukienda ofisi za AUWSA napo hakuna majibu ya maana tunayoyapata, tunaomba mamlaka za juu ai ikiwemo Waziri wa Maji, Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya watusaidie kwa kuwa Muriet tupo Mjini kabisa Arusha kukosa huduma ya maji sio haki na sio salama kwa afya
 
Sisi Wananchi wa Mtaa wa Agape, Kata ya Muriet Mkoani Arusha tuna changamoto ya kukosa maji kwa muda wa miezi miwili sasa.

Licha ya kufanya jitihada za kuwasiliana na mamlaka ya Maji (AUWSA) hatujapata majibu ya kueleweka, hali hiyo imekuwa ikisababisha kero kubwa kwa wakazi wengi wa Agape.

Kuna Injinia wa AUWSA ambaye tulimtafuta akasema kuwa kuna mradi unaendelea unasimamiwa na Wachina lakini hakuna maelezo ya kueleweka.

Tukienda ofisi za AUWSA napo hakuna majibu ya maana tunayoyapata, tunaomba mamlaka za juu ai ikiwemo Waziri wa Maji, Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya watusaidie kwa kuwa Muriet tupo Mjini kabisa Arusha kukosa huduma ya maji sio haki na sio salama kwa afya
Kwasasa Mnatumia maji kutoka wapi mkuu?
 
Sisi Wananchi wa Mtaa wa Agape, Kata ya Muriet Mkoani Arusha tuna changamoto ya kukosa maji kwa muda wa miezi miwili sasa.

Licha ya kufanya jitihada za kuwasiliana na mamlaka ya Maji (AUWSA) hatujapata majibu ya kueleweka, hali hiyo imekuwa ikisababisha kero kubwa kwa wakazi wengi wa Agape.

Kuna Injinia wa AUWSA ambaye tulimtafuta akasema kuwa kuna mradi unaendelea unasimamiwa na Wachina lakini hakuna maelezo ya kueleweka.

Tukienda ofisi za AUWSA napo hakuna majibu ya maana tunayoyapata, tunaomba mamlaka za juu ai ikiwemo Waziri wa Maji, Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya watusaidie kwa kuwa Muriet tupo Mjini kabisa Arusha kukosa huduma ya maji sio haki na sio salama kwa afya
Mradi huo wa mchina unatekelezwa wapi?
 
Back
Top Bottom