Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,499
- 17,373
Nawaambiaa ole wao...maana kilio chetu hakitasahaulika na machozii hayaa yatawalilia milele....ngoja rais ajaye sijui watajificha wapi....nakwambiaa woote mahakamani...tuu wakaonje joto jiwe....JK na team yake hosea,chenge EL karamagi....jeetu ,kamataa wotee haoo kina patel wanajifanya serikali mfukoni...kina tanil nakwambiaa watafute pa kwendaa