K.enge maji ww picha huoni. Nenda Lumumba kachukue buku 7 ki.ma jike ww kapandwe na kima dumeweka picha hoja kama hii haizungumzwi kitoto kama unavyofanya mburula wewe.
Hachana naye uyo kima jike anatafuta kima dume wa kumpanda..!!Una linguine?
Wateule wa Kikwete wengi ni sub-standard; wanalia machozi kwa kuhojiwa tu!!! Alianza Pinda na sasa huyu mama ambaye watu walihofia toka mwanzo kuwa asingeweza kuimudu hiyo wizara na sasa utabiri umedhihilika kwa waziri kuangua kilio baada ya kuulizwa maswali!!!
Hatimaye picha kamili ya utendaji wa waziri wa fedha na uchumi bi Saada Salum Mkuya imeanza kudhihirika baada ya kupatwa na jazba na kisha kulia mbele ya kamati ya bunge ya bajeti pale alipokuwa akibanwa ajibu hoja za kamati hiyo.Bi Saada alikuwa kituhumiwa na kamati hiyo kwamba aliidhalilisha pale ambapo alikuwa akifanya majumuisho ya bajeti kuu ya serikali mwaka 2014/2015 bungeni.
Waziri huyo alituhumiwa kwamba ameidhalilisha kamati hiyo pale aliposema kuwa kamati hiyo haiitendei haki serikali kwa kuikosoa kushindwa kubuni vyanzo vizuri vya mapato.Kutokana na madai hayo waziri huyo wa fedha alitakiwa kujieleza mbele ya kamati hiyo hali iliyomfanya kupatwa na jazba na kuishia kulia hali iliyowafanya wajumbe wa kamati hiyo kupata hofu kwamba waziri huyo angeweza kupata shinikizo la damu.
Waziri Mkuya Saada Salum amekuwa akilalamikiwa na watumishi wa wizara ya fedha kwamba ni mtu mwenye kupatwa na jazba kwa haraka sana na asiyependa kuhojiwa.
Hayo sio machozi ya udhaifu bali ni machozi ya kushindwa kuwaelewa wa Tz - Kamati inatoa povu vyanzo vya mapato viongezwe na visiwe vilele (traditional) wakati huohuo wanakwamisha mswada wa kufuta kodi zisizo na tija kwa kisingizio cha kuwahusisha "wadau" - mdau mwenyewe mfanya biashara / self styled "mwekezaji" wa TZ aliyezoea kugema bila kupanda minazi - thubutu!! kama hawawezi waende kuzimu.
kama mfanyabiashara ni mzalendo wa kweli na anaitakia mema nchi hii aende Hazina akaseme anatozwa kodi ndogo - huyo tunamsubiria kama tunavyomsubiria Messiah (mimi ni Mkristo - na declare interest)
- Kumbe Source ni lile lile gazeti lenye makao makuu Bilicanas kwa Mwenyekiti, ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz System
weka picha hoja kama hii haizungumzwi kitoto kama unavyofanya mburula wewe.
[/COLOR]Hapo kwenye red una maana gani ID yako umeweka neno MAKAH mji mtakatifu wa Kiislamu?