Unaamin kwa kufanya ivyo Ngeleja katuliza hasira ya watanzania?Kitendawili kimeteguliwa kwa waziri Ngeleja kuwataja wamiliki wa Dowans na Wakurugenzi wa Dowans. Mbona jina la Rostam Aziz halipo katika wamiliki na hata wakurugenzi?
Ukweli umedhihiri, je uzushi utakwisha??
Kitendawili kimeteguliwa kwa waziri Ngeleja kuwataja wamiliki wa Dowans na Wakurugenzi wa Dowans. Mbona jina la Rostam Aziz halipo katika wamiliki na hata wakurugenzi?
Ukweli umedhihiri, je uzushi utakwisha??
Kitendawili kimeteguliwa kwa waziri Ngeleja kuwataja wamiliki wa Dowans na Wakurugenzi wa Dowans. Mbona jina la Rostam Aziz halipo katika wamiliki na hata wakurugenzi?
Ukweli umedhihiri, je uzushi utakwisha??
Kitendawili kimeteguliwa kwa waziri Ngeleja kuwataja wamiliki wa Dowans na Wakurugenzi wa Dowans. Mbona jina la Rostam Aziz halipo katika wamiliki na hata wakurugenzi?
Ukweli umedhihiri, je uzushi utakwisha??
We Kaumza kama huyo **** ni baba yako endelea kumtetete lakini nilifisadi la kwanza... limemaliza mali za nchi hii sasa bado wewe lazima akunyonye ubongo
Briefcase Company hiyooo na mabilioni ya Watanzania huku wakitoa kicheko cha kutukejeli :angry:
Ebu nijibu post yangu hapo juu mkuu.kwani nafikiri kuna nafasi ya kufanya kitu kuliko kulalamika
Briefcase Company hiyooo na mabilioni ya Watanzania huku wakitoa kicheko cha kutukejeli :angry:
Ebu nijibu post yangu hapo juu mkuu.kwani nafikiri kuna nafasi ya kufanya kitu kuliko kulalamika
Ni kweli ukifuatilia details za case hii tangu Richmond na sasa Dowans ni utapeli mtupu lakini mafisadi ndiyo wameshaamua kulipa tena haraka sana. Yule Valambhia alishinda case miaka mingi iliyopita lakini hadi hii leo Serikali imegoma kumlipa. Wale wastaafu wa EAC hawajalipwa mafao yao ya EAC na Serikali inawazungusha zungusha tu kwa zaidi ya miaka 30 sasa, lakini cha ajabu hii pesa ya Dowans inalipwa haraka sana pamoja na ushahidi chungu nzima wa kuonyesha utapeli mkubwa uliofanywa na kampuni hi(z)i Richmond/Dowans.
Nwaigwe ushahidi huu si wa BAK bali umepatikana kupitia kwa Watanzania mbali mbali ambao walifanya juhudi kubwa katika kupinga malipo ya aina yoyote kwa kampuni hiyo ya kitapeli.