junior2008
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 528
- 42
Sio dharura kabisa, ufisadi tu umewajaa! Rais ni fisadi, the comedy, mshirikina unategemea nini? Anajijali yeye, familia yake, na kikundi cha watu wachache wanaoishi maisha ya anasa huku wakipora bila huruma rasilimali za nchi na wananchi waliomchagua, inatia hasira!!!!!