Waziri Ngeleja: Serikali imeridhia kuilipa DOWANS Bilioni 95

Waziri mwenyewe katokea vodacom! Wategemea nini?
hapo hatuelewi somo...hata wakishusha toka bilioni 185 hadi 90 .....hatuwaelewi ...haitoki pesa hapa ......watoe waone....hawa dowans hawatalipwa hata senti!!!!!!!

kama walivyokubali kuingia kwenye mazungumzo sakata umeya arusha....na kuachia mwanza na hapo hapo kukimbilia kutangaza majina ya wakurugenzi wa dowans ....ndivyo hinyo watashindwa kuwalipa hata senti hawa dowans.....

watanzania wa sasa sio wale wa zamanii...tunajuwa malipo ya kiasi hicho ni lazima yaidhinishwe na bunge .........na wananchi wote wataangalia nani atayeidhinisha...na kama wataamua kulipa bila kuidhinisha bungeni kama utaratibu basi wataona matokeo..........
 
Hivi jk na genge lake wanatuona watz ni wapumbavu eenh!Ngeleja kubwa zima linathubutu kunyanyua midomo na kutaja eti wamiliki wa dowans,si kutufanya mazuzu?Hatutaki majina ya kampuni,tunataka kujua ni akina nani wanaomiliki hizo kampuni...Kwa nini tunakubali kuendelea kuburuzwa na kutukanwa kiasi hiki?aargh....
 
Hii kasi zaidi ya kukimbilia kulipa hela kwa wamiliki wa dowans hewa ni kiashiria kuwa serikali haina mpango wa kukata rufaa na pia ni kuwa wanajua kwa vile ni kampuni hewa ,hela hizo zinakwenda mifukoni kwa vigogo.
Tunazungumzia shamba la bibi, that is a proof!

Kwa kweli hata mimi nimesgangazwa na uharaka na umuhimu wa Ngeleja, msaidizi wake na MD Tanesco yaani kwenda kuongelea kuilipa DOWANS yaani kama ni jambo la kufurahisha.Nilitegemea wangefanya hivyo kwenye maswala ya kupambana na mgao wa umeme au mikakati ya maana ya kuondo tatizo la umeme na kukusanya madeni Tanesco kutupunguzia nyongeza ya gharama ya umeme.
Lakini nimefikiria nikakumbuka ni juzi to RA katoka Malaysia nadhani na Costarica0 kuweka mambo safi tayari kuchukua huu mgao wao kutoka serikalini ndio maana ya haraka yote hii.
Inauma sana!!!
 
Bilioni 90 nyingi jamani ..lile wanja letu la taifa liligharimu dola milioni 60............yaani thats means tukiwa na bilioni 90 tunaweza kujenga viwanja nusu ya kile mwanza na arusha na tukaandaa michuano mikubwa kama kombe la afrika.....
bilioni 90 zinaweza kujenga highway ya kilometa 100 ........

then connect dots Rostam alikuwa Malaysia juzi na shareholders wa Dowans wapo huko......ushirika wa wachawi haudumu!!!
 
Kama wameamua kuwalipa dowans then wajue wamejitoa kafara! Hakuna amani tena na tena!
 
Watu tumetaka majina ya wamiliki siyo ni kampuni gani zina ubia na Dowans ya Tanzania mbona hawa viongozi wetu ni vilaza hivi?
 
huyu aliye pewa power of attorney kuchukua hizo hela ndio miliki wa dowans kwa niaba ya viongozi wakiongozwa na yule aliye toa press release kwamba jua kali hana share dowans, kampuni gani kubwa kama wanavyosema dowans ilivyo impe uwakala rostam kuchukua pesa kwa ajili yao? kwanini hela zisitumwe huko costa rica kwenye account yao? ambapo shenge na kundi lake ndio hao ma-shareholders
 
uyu Ngeleja ndo alikuwaga mwanasheria wa Vodacom kabla ya siasa? naomba msaada please!!
 
Changa la macho hilooooo. Eti watalipa bilioni 90+.
Danganya toto kwa peremende watasema watalipa bil 90 na zile zinazobakia billioni 90+ zaidi (kukamilisha bil 185) zitalipwa kupitia mlango wa nyuma na kutumbukia kwenye mifuko ya wafisadi.

Anataja kulipa Bil 90 ili ionekane ni pesa dongo kuliko bil 185, business as usual na shamba la bibi.

Kumbukeni hii ni mojawapo ya ahadi zilizotolewa kampeni 2010.
 
the body language ya mheshimiwa showed that something was being concealed! God, whwere are you?
 
Subiri ipo siku yao watayatapika maovu na uongo wao...subiri tu miaka 5 si mingi!!watakimbia nchi hii
 
Kitendawili kimeteguliwa kwa waziri Ngeleja kuwataja wamiliki wa Dowans na Wakurugenzi wa Dowans. Mbona jina la Rostam Aziz halipo katika wamiliki na hata wakurugenzi?

Ukweli umedhihiri, je uzushi utakwisha??
hivi hata hili lazima uambiwe ili uone kuwa nalo limechakachuliwa? au umetuma we na wangese wezako? blood F***n:A S-devil1:
 
We Kaumza kama huyo **** ni baba yako endelea kumtetete lakini nilifisadi la kwanza... limemaliza mali za nchi hii sasa bado wewe lazima akunyonye ubongo
 
We Kaumza kama huyo **** ni baba yako endelea kumtetete lakini nilifisadi la kwanza... limemaliza mali za nchi hii sasa bado wewe lazima akunyonye ubongo
 
Kaumza, serch uchunguz wa seigna humu jamvini utajua dowans ni akina nani! Inaelekea umeona haya mambo superficialy
 
Kweli tu wa tz! Nina wac wac kama hata caspian kuna jina lake brela! 6 katu hint, pm kashindilia, ag kakonclude, unawasikiliza hao wa kwenye makaratasi ya kwa ngeleja! Natumai ukiwabana wata kuonyesha mou vs real owners
kitendawili kimeteguliwa kwa waziri ngeleja kuwataja wamiliki wa dowans na wakurugenzi wa dowans. Mbona jina la rostam aziz halipo katika wamiliki na hata wakurugenzi?

Ukweli umedhihiri, je uzushi utakwisha??
 
mimi nasema ...mungu ni mkuu... kwa kuwa hawa Dowans.., Richmond ..., REDVCO na RA & EL (aka JK)... tayari wanashtakiana wenyewe kwa wenyewe.... hii ni dhahiri kuwa wote ni wajanja wajanja... nakwambia fedha hizi zitangombewa kama mpira.... mwisho mungu atasikiliza kilio cha watanzania na watazulumiana tu....... hapa kila mtu anatoa macho..
 
rostam ni jasusi wa kimataifa na analindwa na mafia nyie mtamuweza wapi? bao la kisigino hilo
 
Back
Top Bottom