Waziri Nape Nnauye ni janga kwa watanzania na mfano mbaya sana wa miungu watu waliopo CCM!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Nimesikitika baada ya kubaini kuwa swala la kutokurusha bunge 'live' lilikuwa ni wazo binafsi la waziri Nape Nnauye mbele ya viongozi na wabunge wa CCM kwa madai kuwa kuonyeshwa kwa bunge 'live' kumekuwa kukiigharimu CCM nakuifanya ichukiwe mbele ya watanzania.

Nape Nnauye baadaye alienda bungeni na kutoa sababu zisizo na mashiko eti kuonyesha bunge 'live' kunaigharimu serikali mabilioni huku kukiwa na kauli mbiu ya kubana matumizi kusiko na tija!

Hivi TBC1 kuonyesha mi-documentary isiyo na kichwa wala miguu ni bora kuliko kuonyesha bunge live? Muda ambao TBC1haionyeshi bunge imekuwa inaonyesha vipindi vya ajabu ajabu visivyo na maana yoyote kwa jamii ambayo ndiyo inawalipa mishahara hawa watu! Hiki ni kituo cha watanzania na wanatakiwa kutoa ushirikiano kwa watanzania! Siyo kituo binafsi cha Nape Nnauye

Sasa Nape Nnauye atueleze anapoonyesha 'live' hotuba za rais Magufuli TBC1 wanalipwa na nani? Hoja ya kubana matumizi kwa TBC1 imefafanuliwa vipi?

Kama hoja ni kubana matumizi basi kuliko kuonyesha vitu visivyo na faida yoyote kwa jamii bora wangezima mitambo wasiwe hewani muda huo!

Kama kituo cha TBC1 hakiwezi kuwa na ushirikiano na watanzania kwa shinikizo la Nape Nnauye basi hakuna sababu ya kuwalipa kodi zetu wakala mishahara! Wajiendeshe kibiashara ili wajilipe mishahara kutokana na biashara zao! Pia hatuoni faida ya Nape Nnauye kama waziri kwa jamii maana hana kazi na jamii! Hatuwezi kuwalipa watu ambao hawapo kwa ajili ya watanzania!

Kwa staili hii watu wasipolipa kodi kwa moyo mmoja wataulizwa??
 
Sasa mkuu G Sam tukienda hewani na mtu kama waziri anatoa tafsiri kuwa TFF ni Tanzania Football Association na bado anarekebishwa na wenzie haelewi wanamrekebisha nini huoni ni janga? TFF ndio taasisi kubwa kuliko zote zilizo na mahusiano na wizara yake lakini hajui kwa nini ni federation. Kwa nafasi aliyonayo lazima aweke fitina ili kuboronga kwake (ambako nadhani kunaendelea) kusionekane.
 
Nimesikitika baada ya kubaini kuwa swala la kutokurusha bunge 'live' lilikuwa ni wazo binafsi la waziri Nape Nnauye mbele ya viongozi na wabunge wa CCM kwa madai kuwa kuonyeshwa kwa bunge 'live' kumekuwa kukiigharimu CCM nakuifanya ichukiwe mbele ya watanzania.

Nape Nnauye baadaye alienda bungeni na kutoa sababu zisizo na mashiko eti kuonyesha bunge 'live' kunaigharimu serikali mabilioni huku kukiwa na kauli mbiu ya kubana matumizi kusiko na tija!

Hivi TBC1 kuonyesha mi-documentary isiyo na kichwa wala miguu ni bora kuliko kuonyesha bunge live? Muda ambao TBC1haionyeshi bunge imekuwa inaonyesha vipindi vya ajabu ajabu visivyo na maana yoyote kwa jamii ambayo ndiyo inawalipa mishahara hawa watu! Hiki ni kituo cha watanzania na wanatakiwa kutoa ushirikiano kwa watanzania! Siyo kituo binafsi cha Nape Nnauye

Sasa Nape Nnauye atueleze anapoonyesha 'live' hotuba za rais Magufuli TBC1 wanalipwa na nani? Hoja ya kubana matumizi kwa TBC1 imefafanuliwa vipi?

Kama hoja ni kubana matumizi basi kuliko kuonyesha vitu visivyo na faida yoyote kwa jamii bora wangezima mitambo wasiwe hewani muda huo!

Kama kituo cha TBC1 hakiwezi kuwa na ushirikiano na watanzania kwa shinikizo la Nape Nnauye basi hakuna sababu ya kuwalipa kodi zetu wakala mishahara! Wajiendeshe kibiashara ili wajilipe mishahara kutokana na biashara zao! Pia hatuoni faida ya Nape Nnauye kama waziri kwa jamii maana hana kazi na jamii! Hatuwezi kuwalipa watu ambao hawapo kwa ajili ya watanzania!

Kwa staili hii watu wasipolipa kodi kwa moyo mmoja wataulizwa??
Hahahaha Ma BAVICHA katika ubora wenu, mmekamatwa vibaya kwakweli, Magu hebu walegezee kidogo hawa jamaa wanakufa kihoro
 
Wao wanafikiri kwamba watu wakiangalia bunge ndio wanaichukia serikali lakini niwambie ccm ukweli ya kwamba hakuna kitu kilichowachukiza watu kama kutorusha bunge live!! Wallahi hili suala litaigharimu sana ccm na udictator wao!
 
Hawa mawaziri wa kuteuliwa kwa kulipana fadhila huwaga ni tatizo sana.. Kwa mfano Nape uki dead leo utakumbukwa kwa lipi .. Zaidi ya kuminya uhuru wa habali
 
!
!
Aisee. Niwatahadharishe wachangiaji wa uzi huu kutumia lugha ya staa. Maswala ya kuwaita viongozi "bwege" kama yule wa Arusha aliyeshtakiwa ni mabaya sana.
 
Hahahaha Ma BAVICHA katika ubora wenu, mmekamatwa vibaya kwakweli, Magu hebu walegezee kidogo hawa jamaa wanakufa kihoro
Sasa wewe kijana mwenzangu unaishi kwenye nchi ipi tofauti na hao Bavicha? maana kama walikuwa wanakomoa UKAWA mbona tumeathirika wote? Jambo hili limeathiri sana wananchi kama unafikiri lina faida kwa CCM basi huelewi kabisa..mimi sina chama lakini nimeathirika maana huku USA tulikuwa tunaangalia Bunge live kwa streams sasa hivi hatupati chochote tumeathirika sana badala ya kusonga mbele tunarudishwa nyuma halafu watu wachache wajinga wanashangilia.
 
Nimesikitika baada ya kubaini kuwa swala la kutokurusha bunge 'live' lilikuwa ni wazo binafsi la waziri Nape Nnauye mbele ya viongozi na wabunge wa CCM kwa madai kuwa kuonyeshwa kwa bunge 'live' kumekuwa kukiigharimu CCM nakuifanya ichukiwe mbele ya watanzania.

Nape Nnauye baadaye alienda bungeni na kutoa sababu zisizo na mashiko eti kuonyesha bunge 'live' kunaigharimu serikali mabilioni huku kukiwa na kauli mbiu ya kubana matumizi kusiko na tija!

Hivi TBC1 kuonyesha mi-documentary isiyo na kichwa wala miguu ni bora kuliko kuonyesha bunge live? Muda ambao TBC1haionyeshi bunge imekuwa inaonyesha vipindi vya ajabu ajabu visivyo na maana yoyote kwa jamii ambayo ndiyo inawalipa mishahara hawa watu! Hiki ni kituo cha watanzania na wanatakiwa kutoa ushirikiano kwa watanzania! Siyo kituo binafsi cha Nape Nnauye

Sasa Nape Nnauye atueleze anapoonyesha 'live' hotuba za rais Magufuli TBC1 wanalipwa na nani? Hoja ya kubana matumizi kwa TBC1 imefafanuliwa vipi?

Kama hoja ni kubana matumizi basi kuliko kuonyesha vitu visivyo na faida yoyote kwa jamii bora wangezima mitambo wasiwe hewani muda huo!

Kama kituo cha TBC1 hakiwezi kuwa na ushirikiano na watanzania kwa shinikizo la Nape Nnauye basi hakuna sababu ya kuwalipa kodi zetu wakala mishahara! Wajiendeshe kibiashara ili wajilipe mishahara kutokana na biashara zao! Pia hatuoni faida ya Nape Nnauye kama waziri kwa jamii maana hana kazi na jamii! Hatuwezi kuwalipa watu ambao hawapo kwa ajili ya watanzania!

Kwa staili hii watu wasipolipa kodi kwa moyo mmoja wataulizwa??
You basterd lier! Magufuli juzi akiwa na Wanaccm Alikiri kuwa Yeye ndiye aliyezuia Mikutano ya siasa na Matangazo ya Moja kwa Moja ya Bunge. Unamsingizia Nape kwa Kuwa alichoka Kupelekeshwa na Mjamaa ambaye Kichama hajawahi hata kuwa Mwenyekiti wa Shina!
 
Kuna faida gani bunge kutoonyeshwa live? Afu kipi kinafanya ufurahi mkuu.
Kurusha binge live kuna manufaa kwa kila MTz bila kujali anavyoegemea kisiasa. Unapata kujua sera za serikali na vile inavyoendeshwa. Pia unapata kuona vile mwakilishi wako anavyo yatetea maslahi ya jamii anayoiwakilisha. Unapata kujua anafaa au la. Hili linasaidia kuikuza demokrasia na uhuru wa jamii.
 
Back
Top Bottom