Waziri Nape hili la "Jamii Namba" nakupa tano. Watanzania sasa kuwa na ID namba moja tu kwenye huduma za kijamii

Financial Intelligence

Senior Member
Sep 29, 2023
113
249
IMG-20240127-WA0034.jpg

Kwa ushirikiano na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, leo tumeianza hatua mpya katika safari ya kuimarisha uchumi wa kidijitali wa Taifa letu

IMG-20240127-WA0033.jpg

Miongoni mwa mambo ambayo tumeingia makubaliano kushirikiana na Wizara, ni pamoja na:

Uundwaji wa “Jamii Namba” Hii ni namba maalum kwa Mtanzania itakayojumuisha huduma mbalimbali, yaani badala ya kuwa na namba tofauti tofauti, (Leseni, Passport, Nida) tunaweza kuwa na namba moja itakayo tambulika katika nyanja hizi zote.

IMG-20240127-WA0030(1).jpg


Jamii Data Exchange Platform

Huu ni mfumo ambao utaundwa kuunganisha mifumo yote ya kiserikali hasa ile ya malipo ili iweze kuwa na mahusiano na uwezo wa kupata taarifa kutoka sehemu moja au nyingine kiurahisi zaidi.

Uundwaji wa mifumo imara zaidi ya malipo mtandaoni ambayo inawezesha huduma salama na rahisi za miamala ya kidijitali kwa wananchi kila wanapo pata huduma sehemu tofauti za serikali.

IMG-20240127-WA0031.jpg

Kutumia wataalam wa Benki ya NMB katika kuunda na kuboresha mifumo, kwani tunajivunia kuwa na vijana wazalendo wenye utaalamu mkubwa juu ya maswala ya Tehama.

Benki ya NMB itatoa jukwaa la kufanyia majaribio (pilot platforms) ya mifumo itakayoundwa, ili kuhakikisha ubora na ufanisi kabla ya kuanza kutumika.

IMG-20240127-WA0040.jpg


Makubaliano haya yamesainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari – Mohammed Khamis Abdulla na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB - Bi. Ruth Zaipuna, wakishuhudiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari – Mhe. Nape Moses Nnauye.
 
View attachment 2884573
Kwa ushirikiano na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, leo tumeianza hatua mpya katika safari ya kuimarisha uchumi wa kidijitali wa Taifa letu
View attachment 2884575
Miongoni mwa mambo ambayo tumeingia makubaliano kushirikiana na Wizara, ni pamoja na:

Uundwaji wa “Jamii Namba” Hii ni namba maalum kwa Mtanzania itakayojumuisha huduma mbalimbali, yaani badala ya kuwa na namba tofauti tofauti, (Leseni, Passport, Nida) tunaweza kuwa na namba moja itakayo tambulika katika nyanja hizi zote.
View attachment 2884576

Jamii Data Exchange Platform

Huu ni mfumo ambao utaundwa kuunganisha mifumo yote ya kiserikali hasa ile ya malipo ili iweze kuwa na mahusiano na uwezo wa kupata taarifa kutoka sehemu moja au nyingine kiurahisi zaidi.

Uundwaji wa mifumo imara zaidi ya malipo mtandaoni ambayo inawezesha huduma salama na rahisi za miamala ya kidijitali kwa wananchi kila wanapo pata huduma sehemu tofauti za serikali.

View attachment 2884577
Kutumia wataalam wa Benki ya NMB katika kuunda na kuboresha mifumo, kwani tunajivunia kuwa na vijana wazalendo wenye utaalamu mkubwa juu ya maswala ya Tehama.

Benki ya NMB itatoa jukwaa la kufanyia majaribio (pilot platforms) ya mifumo itakayoundwa, ili kuhakikisha ubora na ufanisi kabla ya kuanza kutumika.

View attachment 2884587

Makubaliano haya yamesainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari – Mohammed Khamis Abdulla na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB - Bi. Ruth Zaipuna, wakishuhudiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari – Mhe. Nape Moses Nnauye.
Asante sana NMB kwakufanikisha hili huu ndio uzalendo wa kweli
 
View attachment 2884573
Kwa ushirikiano na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, leo tumeianza hatua mpya katika safari ya kuimarisha uchumi wa kidijitali wa Taifa letu
View attachment 2884575
Miongoni mwa mambo ambayo tumeingia makubaliano kushirikiana na Wizara, ni pamoja na:

Uundwaji wa “Jamii Namba” Hii ni namba maalum kwa Mtanzania itakayojumuisha huduma mbalimbali, yaani badala ya kuwa na namba tofauti tofauti, (Leseni, Passport, Nida) tunaweza kuwa na namba moja itakayo tambulika katika nyanja hizi zote.
View attachment 2884576

Jamii Data Exchange Platform

Huu ni mfumo ambao utaundwa kuunganisha mifumo yote ya kiserikali hasa ile ya malipo ili iweze kuwa na mahusiano na uwezo wa kupata taarifa kutoka sehemu moja au nyingine kiurahisi zaidi.

Uundwaji wa mifumo imara zaidi ya malipo mtandaoni ambayo inawezesha huduma salama na rahisi za miamala ya kidijitali kwa wananchi kila wanapo pata huduma sehemu tofauti za serikali.

View attachment 2884577
Kutumia wataalam wa Benki ya NMB katika kuunda na kuboresha mifumo, kwani tunajivunia kuwa na vijana wazalendo wenye utaalamu mkubwa juu ya maswala ya Tehama.

Benki ya NMB itatoa jukwaa la kufanyia majaribio (pilot platforms) ya mifumo itakayoundwa, ili kuhakikisha ubora na ufanisi kabla ya kuanza kutumika.

View attachment 2884587

Makubaliano haya yamesainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari – Mohammed Khamis Abdulla na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB - Bi. Ruth Zaipuna, wakishuhudiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari – Mhe. Nape Moses Nnauye.
Hawa NMB nadhani ni watoto wa walala hoi maana wamekuwa karibu sana na jamii
 
Back
Top Bottom