Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
"Lazima kama Taifa tuwe na mikakati ya kujitegemea sio heshima Nchi kama Tanzania tunaishi kwa misaada ili tufikie huku lazima tulipe na kukusanya kodi ambapo bado tunapata shida katika maeneo haya."
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema hayo leo, Jumanne 23/1/2024 Jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST).
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema hayo leo, Jumanne 23/1/2024 Jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST).