kwa mtindo huu, taifa litazidi kuwa masikini. serikali imeshindwa kuwatumia wataalam wake iliowasomesha kujiendeleza.
kwa maneno haya. mulugo anatakiwa kujiuzulu!!!
kasema alikosea ni mgeni kutumia powerpoint kwenye presentation
ni mwalimu siku nyingi wa history na geograpy
alikosea kusema zimbambwe badala ya zanzibar
zimbambwe ilikuja kichwani kwani presentation iliyokuwa imetangulia ilikuwa ya zimbambwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.