Kwakua kunamchakato wa kutafuta vazi la taifa, hiyo iwe lafudhi ya tz kama ilivyo ya Naigeria ya "thankoo".
Duh, Mulugo analiaibisha Taifa, Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe.... nani amemuandalia huyu hii hotuba? Mungu wangu, anakuwaje waziri wa Elimu huyu ilihali yeye mwenyewe Elimu yake ina walakini? Hawezi hata kulocate Zimbabwe katika ramani ya dunia?
Hahahahaa.......
Halafu ni MKRISTO. Hapo unaona sasa kwa nini Wakatoliki (mie siyo Mkatoliki) vijana wao wazuri sana.
Huu UPUUZI huwezi ukasema umepitia Seminary..... AIBU.
http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=e3BNegmIUKMTanzania
Hebu wana JF sikilizeni vituko vya naibu waziri wa Elimu katika mkutano huko cape town akifanya presentation....WE can't move like this!
natamani kuisikia, ila kimchina kimegoma
WOW....!!!aibu sana, sikosoi kiiengereza au accent. Lakini ilivyoandikwa ni kama presentation ya primary school. aibu sana. halafu muungano wa tanganyika na zimbabwe?????? hata kama hakuandika yeye ameshindwa ku-improvise ???!!!
Loooong speech and very boring
Labda camera effect inamzuzua. Hata kana anaandaliwa hotuba haisomi kabla, hashtuki? Ukilaza nao ni kipaji mjue.
Zimbabwe and Pemba?Mungu wangu