KIJIGOJUNIOR
Member
- Mar 5, 2011
- 27
- 17
Wadau juzi tarehe 5/3/2011 mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika alifanya ziara jimboni kwake na kuzungumza na wananchi waishio kandokando ya Barabara ya Morogoro,kuhusu kuvunjiwa nyumba zao na hatma ya malipo yao.Walikubaliana na wakazi waishio pembezoni mwa barabara ya morogoro kuwa mapema siku hiyohiyo kumpelekea azma Waziri mkuu Pinda amwamuru Waziri wa Ujenzi Magufuli asitishe zoezi la bomoa bomoa,Nimetahamaki Leo Asubuhi Nasikia kuwa Magufuli Kaamrishwa asimamishe Zoezi la bomoa bomoa.Jamani Hv Nyie Chadema Kwani Nyie ndo wenye Nchi?Mbona kila kulicha matamko yenu ndo yanafuatwa kila siku?