GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,848
- 109,555
Halafu GENTAMYCINE nikusaidie tu kwa Kukuambia kuwa Dagaa na Samaki wa Kawaida hawawezi kuwa Wakorofi na Wajanja Wajanja ndani ya Bahari halafu Mkubwa wao Nyangumi ama asijue au asiwe anashirikiana na baadhi yao.
Acha kutafuta Sifa kwa Wananchi kuwa leo hii una Huruma mno na Fedha za Watanzania kuliko Waliokutangulia wakati hata Wewe rekodi yako ya Kimapato na Kimatumizi katika Wizara zote ulizokuwa si nzuri ila Ukaribu wako wa Kifamilia na Familia ya East African Queen Chief ndiyo Unakulinda na Wanakulinda ila nawe ni wale wale tu acha Kutuzuga.
Namaliza kwa Kukuambia kuwa Tanzania iliharibika rasmi Kiutendaji na Kimaadili tokea mwaka 2005 na ndiyo maana leo hii kwa Tanzania ukiwa Mpigaji ( Corrupt ) unasifika na kuonekana wa maana na ukiwa Mzalendo na Mweledi wa kweli na wa Kiasili kama GENTAMYCINE unaonekana Mpumbavu, Mshamba na Hufai kwa lolote wakati kwa Mwenyezi Mungu sisi ndiyo huwa Mashujaa wake Tukuka.
Mkitaka huu Upuuzi wote ufike Kikomo nchini Tanzania mwambie mwana Familia wako East African Queen Chief aanze upya Mchakato wa kulirejesha AZIMIO LA ARUSHA ambalo Wapumbavu na Walafi wawaliondoa ili waifikishe Tanzania pabaya kama ilivyo sasa.
GENTAMYCINE ni Bahari ambayo kamwe haikai na Uchafu. Ukipatia NITAKUPONGEZA na Ukikosea NITAKUSILIBA tu, hivyo mnivumilie lakini tafakarini na badilikeni huko Serikalini mliko.
Acha kutafuta Sifa kwa Wananchi kuwa leo hii una Huruma mno na Fedha za Watanzania kuliko Waliokutangulia wakati hata Wewe rekodi yako ya Kimapato na Kimatumizi katika Wizara zote ulizokuwa si nzuri ila Ukaribu wako wa Kifamilia na Familia ya East African Queen Chief ndiyo Unakulinda na Wanakulinda ila nawe ni wale wale tu acha Kutuzuga.
Namaliza kwa Kukuambia kuwa Tanzania iliharibika rasmi Kiutendaji na Kimaadili tokea mwaka 2005 na ndiyo maana leo hii kwa Tanzania ukiwa Mpigaji ( Corrupt ) unasifika na kuonekana wa maana na ukiwa Mzalendo na Mweledi wa kweli na wa Kiasili kama GENTAMYCINE unaonekana Mpumbavu, Mshamba na Hufai kwa lolote wakati kwa Mwenyezi Mungu sisi ndiyo huwa Mashujaa wake Tukuka.
Mkitaka huu Upuuzi wote ufike Kikomo nchini Tanzania mwambie mwana Familia wako East African Queen Chief aanze upya Mchakato wa kulirejesha AZIMIO LA ARUSHA ambalo Wapumbavu na Walafi wawaliondoa ili waifikishe Tanzania pabaya kama ilivyo sasa.
GENTAMYCINE ni Bahari ambayo kamwe haikai na Uchafu. Ukipatia NITAKUPONGEZA na Ukikosea NITAKUSILIBA tu, hivyo mnivumilie lakini tafakarini na badilikeni huko Serikalini mliko.