Waziri Masauni lipa posho za maji na umeme kwa Askari wako

Kyenyabasa

JF-Expert Member
Mar 8, 2023
249
711
Askari wa Wizara yako walie mpaka lini!? Unafrahia kuongoza Askari wanyonge!

Hizi posho za maji na Umeme serikali inazitoa zinaishia kuliwa na wajanja Wizarani pengine ukiwepo wewe (tetesi zipo) watumishi wote wizarani wanalipwa posho hizi!

Iweje Askari waambiwe wanunue umeme na maji alafu wawasilishe risiti kwa ajili ya malipo ambayo huyadai mpaka miaka 3 ndo yanalipwa!? Kuna giza sana Wizarani kuhusu posho hizi, mmenufaika vya kutosha sasa inatosha acheni kuwafanya Askari wajinga, lipa posho zao haraka kupitia Mishahara yao.

Askari kila wakitaka kuongea Rais wanapigwa nyundo!
 
Askari wa Wizara yako walie mpaka lini!? Unafrahia kuongoza Askari wanyonge!! Hizi posho za maji na Umeme serikali inazitoa zinaishia kuliwa na wajanja Wizarani pengine ukiwepo wewe( tetesi zipo) watumishi wote wizarani wanalipwa posho hizi! Iweje Askari waambiwe wanunue umeme na maji alafu wawasilishe risiti kwa ajili ya malipo ambayo huyadai mpaka miaka 3 ndo yanalipwa!? Kuna giza sana Wizarani kuhusu posho hizi,mmenufaika vya kutosha sasa inatosha acheni kuwafanya Askari wajinga,,,lipa posho zao haraka kupitia Misha ha ra yao.

Askari kila wakitaka kuongea rais wanapigwa nyun do!
Afadhali, anafanya vyema huyu Waziri.

Wasilisheni Stakabadhi halali ili muweze kulipwa.
 
Askari wa Wizara yako walie mpaka lini!? Unafrahia kuongoza Askari wanyonge!

Hizi posho za maji na Umeme serikali inazitoa zinaishia kuliwa na wajanja Wizarani pengine ukiwepo wewe (tetesi zipo) watumishi wote wizarani wanalipwa posho hizi!

Iweje Askari waambiwe wanunue umeme na maji alafu wawasilishe risiti kwa ajili ya malipo ambayo huyadai mpaka miaka 3 ndo yanalipwa!? Kuna giza sana Wizarani kuhusu posho hizi, mmenufaika vya kutosha sasa inatosha acheni kuwafanya Askari wajinga, lipa posho zao haraka kupitia Mishahara yao.

Askari kila wakitaka kuongea Rais wanapigwa nyundo!
Kumbe na nyie mnaminywaga poleni sana, na hongera kwa kupaza sauti.
 
Askari wengi wa vyeo vya chini wa Jeshi la Polisi wanafanya kazi ngumu na tena katika mazingira magumu sana. Ni vyema watumishi wa wizara wahakikishe kuwa stahili zao zote zinalipwa kwa wakati.

Kama ukienda katika vituo vyao vingi vidogo utaona kwa uwazi mazingira yao halisi ya kazi na vitendea vyao vya kazi. Hao waliopo wizarani wala hawawezi kuguswa na kadhia hii. Ndiyo maana wanatafuta mazingira ya kujinufaisha na posho zao bila hata ya kuweka utu wa kibinadamu mbele.
 
Askari wa Wizara yako walie mpaka lini!? Unafrahia kuongoza Askari wanyonge!

Hizi posho za maji na Umeme serikali inazitoa zinaishia kuliwa na wajanja Wizarani pengine ukiwepo wewe (tetesi zipo) watumishi wote wizarani wanalipwa posho hizi!

Iweje Askari waambiwe wanunue umeme na maji alafu wawasilishe risiti kwa ajili ya malipo ambayo huyadai mpaka miaka 3 ndo yanalipwa!? Kuna giza sana Wizarani kuhusu posho hizi, mmenufaika vya kutosha sasa inatosha acheni kuwafanya Askari wajinga, lipa posho zao haraka kupitia Mishahara yao.

Askari kila wakitaka kuongea Rais wanapigwa nyundo!
kazi ya polisi inajumuisha watu wa hovyo sana. yaani watu wanapigana bar anayetangulia kwenda polisi ndiyo mwenye haki.
kwakuwa wanapatikana kwa kushindanishwa mbio na urefu
 
Back
Top Bottom