Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
Wajameni naomba mnisaidie katika nchi yetu nimekuwa nikisikia hiki cheo cha waziri kivuli nasema hivyo ni baada ya kusoma na kuona runinga zikisema kuwa kuna mbunge mmoja wa chama fulani kutoka mkoa fulani kwenda kuchochea vurugu, na inajulikana kuwa ni mbunge G. Lema ndio alikuwa Tarime pia G. Lema ni waziri kivuli wa mambo ya ndani je cheo cha waziri kivuli hakina uzito wowote?