OSOKONI miaka ya 70 inamaanisha kati ya mwaka 1970 na 1980 siyo 1979! right?
By the way nafurahi kujua kuwa huyu@Nikupatejew ni Mnyasa na ndiyo maana anatokwa mishipa ya shingo kutetea Malawi kwamba inamiliki ziwa Nyasa kwa 100%!
Basi nazipuuza threads zake tangu sasa!
Wewe hiyo ya kuwambiwa kwamba ni Mnyasa ndiyo umeiona hoja. Really? Baada ya kusoma hoja yake na kusoma historia (au kutosoma labda) ndiyo umeona kwamba hiyo ndiyo hoja. Unbelievable! Read a book!