Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

robinson crusoe

JF-Expert Member
Oct 22, 2020
740
1,214
Bashe anawaambia vijana wakalime, yeye anajenga vituo vya mafuta njia nzima ya kibaha. Sijui katoa wapi mtaji huo! Ni hizo milioni 16 kwa ekari. Yaani kazi ya milioni 5 yeye anatumia milioni 16!

Hebu tuongelee tabia na maelezo ambayo aliyatoa juu ya kilimo. Huu ni uchafu tu! Yaani waziri kaachana na mpango mkakati wa kilimo (ASDP II) ambao haukupata pesa za kuuendeleza. Sasa anapewa pesa za Kilimo, kijana anazipiga kupitia mpango wake wa mfukoni. Ubunifu binafsi. Kwa miaka yake miwili hakuna manufaa kwa mkulima wa kijijini, Bashe anahangaika na show za mjini.

Ni kwa nini rais amenyamaza wakati kinachotekelezwa siyo mpango wa serikali? Je, ndo mbinu ya mkuu wetu kujinufaisha kupitia kwa mawaziri na tenda za ujenzi wa mashamba na mabarabara? Tunadhani ni Bashe kumbe ni makusudi tu, pesa ipondwe. Pikipiki pekee zilinunuliwa kwa mabilioni, bila hata sababu. Hatujaona manufaa yake sasa kuna mpango wa Bashe kwa vijana.

Alichosema Mdee yuko sahihi! Ni vibaya sana kutumia pesa za serikali kunufaisha wachache kwa jina eti vijana ktk kilimo. Yaonekana hata waziri hana ramani ya mikoa ya kilimo ktk nchi hii ndo maana anafungua mashamba Dodoma. Badala ya kujibu maswali bungeni kijana wa kisomali kaja na takwimu za mitandaoni na kujidai English ambayo imemkataa siku zote.

Hii imeniuma na nimekumbuka kwamba Bashe ni m-Tanzania wa kujiandikisha. Amejiandikisha ili awe m-Tanzania, tena kwa mbinu nyingi na urafiki wa wanasiasa wetu. Kuna haja kubwa ya kuangalia nani anastahili kupewa nafasi za uwaziri kama ilivyo kwa nafasi ya rais.
 
Huyu msomali ni wizi kupita kiasi bahati mbaya maza naye udini unamsumbua
Kuruani inashawishi mwislamu kumsaidia mwislamu mwenzako, siyo kafir! Sasa inaweza kuwa ni sifa kubwa aliyonayo bashe maana Bashe amekuwa ni raia wa kujiandikisha na wizi alifundishwa na akina Rostam Aziz na ndo walimsaidia kuwa raia. Leo hii eti anafaa hata kuwa waziri!

Lakini ktk kuruani 5:2 inashawishi kusaidia kwa njia iliyo safi. Hapa Bashe ni wizi mtindo mmoja na ndo maana mimi naamini hizi dini ni unafiki tu! Yaani unakuta watu wanajadili wizi kwa kutumia uhusiano wao wa dini!
 
Bashe anawaambia vijana wakalime, yeye anajenga vituo vya mafuta njia nzima ya kibaha. Sijui katoa wapi mtaji huo! Ni hizo milioni 16 kwa ekari. Yaani kazi ya milioni 5 yeye anatumia milioni 16!

Hebu tuongelee tabia na maelezo ambayo aliyatoa juu ya kilimo. Huu ni uchafu tu! Yaani waziri kaachana na mpango mkakati wa kilimo (ASDP II) ambao haukupata pesa za kuuendeleza. Sasa anapewa pesa za Kilimo, kijana anazipiga kupitia mpango wake wa mfukoni. Ubunifu binafsi. Kwa miaka yake miwili hakuna manufaa kwa mkulima wa kijijini, Bashe anahangaika na show za mjini.

Ni kwa nini rais amenyamaza wakati kinachotekelezwa siyo mpango wa serikali? Je, ndo mbinu ya mkuu wetu kujinufaisha kupitia kwa mawaziri na tenda za ujenzi wa mashamba na mabarabara? Tunadhani ni Bashe kumbe ni makusudi tu, pesa ipondwe. Pikipiki pekee zilinunuliwa kwa mabilioni, bila hata sababu. Hatujaona manufaa yake sasa kuna mpango wa Bashe kwa vijana.

Alichosema Mdee yuko sahihi! Ni vibaya sana kutumia pesa za serikali kunufaisha wachache kwa jina eti vijana ktk kilimo. Yaonekana hata waziri hana ramani ya mikoa ya kilimo ktk nchi hii ndo maana anafungua mashamba Dodoma. Badala ya kujibu maswali bungeni kijana wa kisomali kaja na takwimu za mitandaoni na kujidai English ambayo imemkataa siku zote.

Hii imeniuma na nimekumbuka kwamba Bashe hakuzaliwa Tanzania. Amejiandikisha ili awe m-Tanzania, tena kwa mbinu nyingi na urafiki wa wanasiasa wetu. Kuna haja kubwa ya kuangalia nani anastahili kupewa nafasi za uwaziri kama ilivyo kwa nafasi ya rais.
Ulinzi alionao Bashe ni Udini. Hapo ndo nalaani dini. Yaani mtu anaona mtu ni mwizi lakini anamkumbatia kwa kuwa tu ni mwislamu. Kwani hakuna waislamu wema? Kwani hatuna waislamu wa-TZ kuliko huyu msomali aliyejiandikisha kuwa m-TZ?
 
Siku mtakayo stuka itakuwa too late

I told you two years ago kwa Bashe hamna kitu hapo zaidi ya upigaji na mipango ya hovyo ya kuchezea hela za walipa kodi.

Huwa anaongea vitu ambavyo havina maana 90% of the times. Mfano anakiri 75% ya nchi ikiwa na wakulima hiyo ni nchi maskini. Sasa kutoka huko kunahitaji sera imara za kuvutia uwekezaji wa viwandani au kuongeza wakulima.

Pili pamoja na huo upotevu wa hela unaofanywa huko mashambani mbele baada ya miaka 3-4 tutarudi hapa baadhi ya mashamba kutekelezwa mara tu serikali itakapoacha kuwasaidia hao vijana na kuwataka kujitegemea. Wengi watashindwa kuendeleza na kusimamia hayo maeneo.

Community farming wazungu washafanya miaka 200 iliyopita it didn’t work kwa sababu nilizotaja. Ndio maana kuna wakulima wachache wenye maeneo makubwa; halafu farming ni lifestyle ili uwe mkulima mzuri na uipende hiyo kazi inabidi uwe tayari na kuishi hayo maisha.

The guy is just useless, tutarudi hapa madhara yatakapokuwa wazi. Kwa sasa wafanye wanavyotaka, sisi walalahoi tunataka kuona price stability kwenye chakula. Huko kwenye ufisadi kila mtu anafanya kama wenye mamlaka ya kuwateua na kuwamakata inaona na zipo kimya sisi hakina nani tulalamike.

Eti dunia ije kujifunza Tanzania block farming ‘someone tell this minister, to google feudalism in agrarian society’ aone wazungu huo upuuzi waliachana nao lini na kwanini upande wa kilimo.
 
Back
Top Bottom