Taarifa toka chanzo cha uhakika zimebainisha Waziri wa Maliasili na utalii Balozi Khamis Kagasheki ameanza kufumua uozo mkubwa unaoitafuna Ngorongoro Conservation Area Authority.
Account binafsi za baadhi ya vibosile wa mamlaka hiyo zimekutwa na mabilioni ya fedha za kigeni US dollar na fedha za kitanzania.Waziri kwa kushirikiana na mamlaka mbali mbali za dola wamezuia account zote na kuanzisha uchunguzi mara moja.
Ifahamike NCCA ni mamlaka pekee Tanzania yenye kumiliki magari ya kifahari luluki.Ni mamlaka pekee nchi ambayo wakurugenzi wake wanauhakika wa kukaa nje ya Tanzania zaidi ya siku 200 kwa mwaka.Ni mamlaka pekee ambayo wakurugenzi wake karibu wote wanamiliki V8 na mahekalu ya kutisha katika miji ya Arusha,Dar na Mwanza.
Jamaa Bajeti yake anasoma lini? Maana hawa Mawaziri siku hizi kabla hawajaenda kusoma Bajeti kwanza Wanatoa Kafara
1. Mwakyembe alimtoa Kafara Chizi
2. Muhongo akamtoa Kafara Mhando
3. Kagashaki anataka kumtoa Kafara nani?
Mmmmmmmhh......................fishy
Mkuu Mafuluto ni kweli NCAA fedha zinachotwa CCM wamekuwa wakihakikisha wanaweka watu wao kwaajili ya manufaa ya chama chao na wakati huo huo wafanyakazi wana take advantage ya kuchota fedha kwakuwa wanajua siri kibao.Kabla ya Pius Msekwa alikuwepo Job Lusinde TANAPA huyu ni mdhamini wa CCM mpaka leo Sijui mwenyekiti wa bodi siku hizi ni nani jaribu kutafiti utakuta ni wale wale watu wa system.
Taarifa toka chanzo cha uhakika zimebainisha Waziri wa Maliasili na utalii Balozi Khamis Kagasheki ameanza kufumua uozo mkubwa unaoitafuna Ngorongoro Conservation Area Authority.
Account binafsi za baadhi ya vibosile wa mamlaka hiyo zimekutwa na mabilioni ya fedha za kigeni US dollar na fedha za kitanzania.Waziri kwa kushirikiana na mamlaka mbali mbali za dola wamezuia account zote na kuanzisha uchunguzi mara moja.
Ifahamike NCCA ni mamlaka pekee Tanzania yenye kumiliki magari ya kifahari luluki.Ni mamlaka pekee nchi ambayo wakurugenzi wake wanauhakika wa kukaa nje ya Tanzania zaidi ya siku 200 kwa mwaka.Ni mamlaka pekee ambayo wakurugenzi wake karibu wote wanamiliki V8 na mahekalu ya kutisha katika miji ya Arusha,Dar na Mwanza.