Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,923
- 31,166
Taarifa toka chanzo cha uhakika zimebainisha Waziri wa Maliasili na utalii Balozi Khamis Kagasheki ameanza kufumua uozo mkubwa unaoitafuna Ngorongoro Conservation Area Authority.
Account binafsi za baadhi ya vibosile wa mamlaka hiyo zimekutwa na mabilioni ya fedha za kigeni US dollar na fedha za kitanzania.Waziri kwa kushirikiana na mamlaka mbali mbali za dola wamezuia account zote na kuanzisha uchunguzi mara moja.
Ifahamike NCCA ni mamlaka pekee Tanzania yenye kumiliki magari ya kifahari luluki.Ni mamlaka pekee nchi ambayo wakurugenzi wake wanauhakika wa kukaa nje ya Tanzania zaidi ya siku 200 kwa mwaka.Ni mamlaka pekee ambayo wakurugenzi wake karibu wote wanamiliki V8 na mahekalu ya kutisha katika miji ya Arusha,Dar na Mwanza.
Account binafsi za baadhi ya vibosile wa mamlaka hiyo zimekutwa na mabilioni ya fedha za kigeni US dollar na fedha za kitanzania.Waziri kwa kushirikiana na mamlaka mbali mbali za dola wamezuia account zote na kuanzisha uchunguzi mara moja.
Ifahamike NCCA ni mamlaka pekee Tanzania yenye kumiliki magari ya kifahari luluki.Ni mamlaka pekee nchi ambayo wakurugenzi wake wanauhakika wa kukaa nje ya Tanzania zaidi ya siku 200 kwa mwaka.Ni mamlaka pekee ambayo wakurugenzi wake karibu wote wanamiliki V8 na mahekalu ya kutisha katika miji ya Arusha,Dar na Mwanza.