Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,530
- 113,667
Mzee Mwanakijiji, heshima mbele. Mzee nimekukubali na umekubalika. Kalamu imeshikika, taaluma, kipaji na uwezo wa uandishi ndio mahali pake na mwanga wa kisheria pia umesimama!.
Jana nilimsikiliza huyu Mhe. akijifagilia pale Clouds,nikasema bado hajakutana na waulizaji maswali. Japo sijaweza kuacess padomatic yako (Nokia E 90 bure kabisa), nakiri wewe ni muulizaji maswali mahiri. Mtafute Masha umkamue tuupate ukweli.
Pia nakushauri, fanya mawasiliano na vituo vya Radio home ili zile live zako, ziwe live broadcsast home na wengi tufaidike.
TBC wako mbioni kuanzisha live interactive programs. Tayari wameanza na Dar- Dodoma wakati wa Bunge na Dar-Arusha wakati wa Sullivan. Baada ya kuilink mikoa yote, watalink na EAC na hatimaye Global na hapa ndipo tutaweza kuipata michango halisi ya wenzetu mlio nje katika ujenzi wa Taifa letu.
Asante Mzee Mwanakijiji.
Jana nilimsikiliza huyu Mhe. akijifagilia pale Clouds,nikasema bado hajakutana na waulizaji maswali. Japo sijaweza kuacess padomatic yako (Nokia E 90 bure kabisa), nakiri wewe ni muulizaji maswali mahiri. Mtafute Masha umkamue tuupate ukweli.
Pia nakushauri, fanya mawasiliano na vituo vya Radio home ili zile live zako, ziwe live broadcsast home na wengi tufaidike.
TBC wako mbioni kuanzisha live interactive programs. Tayari wameanza na Dar- Dodoma wakati wa Bunge na Dar-Arusha wakati wa Sullivan. Baada ya kuilink mikoa yote, watalink na EAC na hatimaye Global na hapa ndipo tutaweza kuipata michango halisi ya wenzetu mlio nje katika ujenzi wa Taifa letu.
Asante Mzee Mwanakijiji.