waziri ameropoka

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
4,163
787
UDOM....AFWATILIE, tena AHOJI WANAFUNZI kama kweli waligoma kusaini vitabu vya majina kupewa mikopo..yeye mwenyewe, achukue sampo ya walionyimwa vyeti.:director:

wenzenu bodi na chuo wanaubiri ikipita huu upepo wale mabilioni ya mikopo ya wanafunzi

my take:flypig:
 
Kheee huyu ni msomi wa chuo kikuu!? Halafu mnaanza kusema hampati kazi maana kujieleza sifuri
 
Heading ni tofauti na ulichoandika,of-course tz ni nchi ambayo mjanja yeyote kutoka nje anaweza kuja na kukaa so kama kiswahili ni kigumu funguka hata kwa lugha za kwenu kule congo,somalia,ethiopia, nk 2tajaribu kukupata 2.
 
Back
Top Bottom