mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,060
- 630
Hivi hii njia ya dar Lind Mtwara, kuna maeneo gan mazuri ya kutalii?
Anza na Kilwa Kivinje, Kisiwani, Masoko Hadi Msimbati nkHivi hii njia ya dar Lind Mtwara, kuna maeneo gan mazuri ya kutalii?
FTC yake inaingia 55litres sijajua inatumia mafuta kiasi gani Kwa kilomita ila kipige full vuka hadi dom weka lita zingine 20 hapo nafikiri lita 70/80 zinakufikisha hadi mwanza.Vp wakuu natgemea kutoka dar to mwanza mwanzoni mwa mwezi wa nane .Aina ya gari ni premio ya cc 1490 inaweza tumia Lita ngapi za petrol kwa root hiyo...
Vp wakuu natgemea kutoka dar to mwanza mwanzoni mwa mwezi wa nane .Aina ya gari ni premio ya cc 1490 inaweza tumia Lita ngapi za petrol kwa root hiyo...
Ina bei gani hiiMimi nna hichi kifaaa dar moro fasta tu cc 180 king lion mwendo wake sio mdogo kama una gari tunaweza sumbuana road japo nataka nichukue pikipiki inayoanzia cc600.View attachment 2686902View attachment 2686903View attachment 2686904
4.5m nilinunua mwaka juzi sasa sijui saivi zimesimamaje.Ina bei gani hii
anabattle na gari ya matairi mawiliKama kawaida yangu Jumamosi uwa natoka na bike kuondoa carbon Kwenye exhaust. Leo Nikakutana na crown athlete new model nyekundu. Nahisi dreva alikuwa hajui the power of a BMW bike. He has a story to tell kama yupo humu; ila aache ushamba; kwa nini mwanzoni ulikuwa unaniblock nikitaka kuku-overtake?
Usithubutu kuweka ligi na machine ya mjerumani.
Lc 300 Number A, duuhKwa injini hiyo hiyo niliweka full tank Puma mwenge 33l nimefika nayo Arusha na kuzunguka kidogo mpaka taa imekuja kuwaka ilikua 621km.
Juzi kuamkia jana nikaweka hizo hizo zimenifikisha Dar na bado ninayo. Na hapo kati nilikilmbizana mnoo na LC 300 kwanzia mwanga mpaka mombo. Ashukuriwe huyo mwenye LC na king’ora chake T*** AQM mlinichangamsha naimani na nyinyi mlichangamka kama mpo humu japo sio kiushindani. Kwahiyo kama gari yako iko na service nzuri naimani around 60lit zina kufikisha. Jitahidi kama una uwezo sehemu kubwa ya safari yako iwe usiku. Dar-Arus-Dar nimetumia 221000. Hiyo buku nilimpq afande ya kahawa sikua na kosa nikaona nimtoe. Iliyobaki ni mafuta. Nilisimama mara chache kuchimba dawa. Niliondoka puma mwenge saa 10:47 usiku nilifika Mianzini saa 6:30 asubuhi. View attachment 2695373
Lc 300 Number A, duuh
Na hili tatizo lina miezi tele ila wao wamekaa tuSasa app ina kazi gani kama kufungua picha mpaka tutumie browser hii app ni ya kisenge waifute tu tutumie browser mazima
Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
usiogope kijana hizi bongo zipo mda mrefu tu toka 2004 ukoLc 300 Number A, duuh
L200 ndio zilikuwepo 2004 sio L300 jamani chui aitwe chui na duma aitwe duma.usiogope kijana hizi bongo zipo mda mrefu tu toka 2004 uko
Anza na Kilwa Kivinje, Kisiwani, Masoko Hadi Msimbati nk
Makirikiri hao 😂usiogope kijana hizi bongo zipo mda mrefu tu toka 2004 uko
Msimbati ndo kuna Bandari ya kudaka meli za Mafia si ndio?Anza na Kilwa Kivinje, Kisiwani, Masoko Hadi Msimbati nk