Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

A-Town
00000IMG_00000_BURST20230331234722800_COVER.jpg
 
Gari lina 4290cc kisa tu nisiachwe na magari mengine barabarani? Kwa kweli wenye pesa nunueni tu, natokaga na ka Starlet kangu Chuga mpaka Rock City kuona watoto Kwa masaa 12 kama ni mchana, usiku natumia masaa tisa, yananitosha
Sio kuachwa tu mkuu! Kuna ile raha fulani hivi unaipata ukiwa unaendesha gari yenye kifua kinene.

Kuna hii gari nilitaka kuiingiza nchini tena nimepewa bure kabisa ila tu ushuru umenifanya nirudi nyuma hali ngumu kwa sasa.

Ina 1UZ V8
Screenshot_20230405-000823_GBWhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom