Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 950
- 2,260
A-Town
Unatakiwa uwe na nidhamu ya hali ya juu 😅Bongo ukiwa na Sedan Lazima ujute na mituta barabarani
Yaan hata likiwa Benz Lazima ujuteUnatakiwa uwe na nidhamu ya hali ya juu 😅
Shukraan sana mkuu, kabisa naamini kuna watu humu wanazo na ninatarajia kupata ushauri wa chochote kutoka kwao.All the best mkuu!Binafsi gari ikishakuwa na kifua kikubwa huwa naifrahia sana,sina uzoefu wa UZ engines ubora wake naamini wadau humu wanazo watatupa dira.
Shukraan sana mkuu, kabisa naamini kuna watu humu wanazo na ninatarajia kupata ushauri wa chochote kutoka kwao.
Gari lina 4290cc kisa tu nisiachwe na magari mengine barabarani? Kwa kweli wenye pesa nunueni tu, natokaga na ka Starlet kangu Chuga mpaka Rock City kuona watoto Kwa masaa 12 kama ni mchana, usiku natumia masaa tisa, yananitosha
Sio kuachwa tu mkuu! Kuna ile raha fulani hivi unaipata ukiwa unaendesha gari yenye kifua kinene.Gari lina 4290cc kisa tu nisiachwe na magari mengine barabarani? Kwa kweli wenye pesa nunueni tu, natokaga na ka Starlet kangu Chuga mpaka Rock City kuona watoto Kwa masaa 12 kama ni mchana, usiku natumia masaa tisa, yananitosha
Mazee unamiliki sheli Nini hapa mjini?
Hapana mkuu. Hio haifai kuifanya ya misele ya kila siku.Mazee unamiliki sheli Nini hapa mjini?
Majesta Lazima uwe na kisima nyumbaniWazee wa Road trips kuna hizi MAJESTA mbili zimenishawishi sana. Sasa nawaza nivue moja kati ya hizo (Nitakayoridhika nayo baada ya kukagua).
Nataka niweke akiba iwe special kwa ajili ya fimbo za kutia watu adabu kwenye safari za mbali.
Zote zina 3UZ kifuani. View attachment 2575724View attachment 2575725View attachment 2575726View attachment 2575727View attachment 2575728View attachment 2575729