Unakuta mtu unaandika Bandiko la kusherehekea siku yako ya kuzaliwa kwenye Jukwaa, halafu ukasema umezaliwaa mwaka fulani basi watatokea Vikongwe na kuanza kusema kumbe humu tunarumbana na Vitoto.
Naomba mjue kuwa mnatukosea sana sisi wajukuu zenu.
Ushauri - Wazee tunawaomba muwe na hekima kwa wajuu zenu.
Uzi Tayari.
Naomba mjue kuwa mnatukosea sana sisi wajukuu zenu.
Ushauri - Wazee tunawaomba muwe na hekima kwa wajuu zenu.
Uzi Tayari.